M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
kwenye soko la dunia, bei ya mafuta ya petroli imeshuka kwa zaidi ya 40% kati ya July na December 2015 (fuatilia hapa http://moneyweek.com/prices-news-charts/oil/).
kwa maana hii, bei ya rejareja (mathalani ya petroli) ilitakiwa isizidi 1,500 kwa lita moja. mimi kila nilikopita si chini ya sh 1,800.
JIPU!!
kwa maana hii, bei ya rejareja (mathalani ya petroli) ilitakiwa isizidi 1,500 kwa lita moja. mimi kila nilikopita si chini ya sh 1,800.
JIPU!!