Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Alikuwa mbishi sana. Anasema Azam decoder ndo kila kitu. Nikamwambia hujui wewe... Sasa juzi kaja kuangalia Ball la WC kupitia DSTV. Amekiri anasema hawa jamaa kweli wana HD ya ukweli.
Nlimwambia kukosa kuwa na DSTV nyumbani unapoishi ni kutokuwa na nyumba kamilifu. Leo ameenda kununua king'amulizio cha DSTV. anasema kesho haendi kazini. Anataka aangalie DSTV.
Huwezi ukawa serious katika maisha kama huna DSTV. HUWEZI. UTAKUWA MBABAISHAJI TU.
Nlimwambia kukosa kuwa na DSTV nyumbani unapoishi ni kutokuwa na nyumba kamilifu. Leo ameenda kununua king'amulizio cha DSTV. anasema kesho haendi kazini. Anataka aangalie DSTV.
Huwezi ukawa serious katika maisha kama huna DSTV. HUWEZI. UTAKUWA MBABAISHAJI TU.