Jirani sijakualika Idd kwanini hauondoki kwang? story haziishi

Jirani sijakualika Idd kwanini hauondoki kwang? story haziishi

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Ni kweli sisi ni majirani lakini kwanini tokea asubuhi upo hapa kwangu na wakati sijakualika?

Jirani kwanini unakuwa hivi lakini?

Yani tokea asubuhi unabadilisha story tu mara Treni ya Umeme, mara Goli la Yanga, mara Radio ya Alikiba na hauna dalili ya kuondoka.
 
Nobody knows tomorrow
Jana ghetto mbonji la kigodoro
Kula yenyewe mgogoro
Shaghala, baghala, ndombolo, ndombolo

It's holiday
Watu wana celebrate
Life Is every day
My friend usi complicate
It's holiday
Watu wana celebrate
Life Is every day
My friend usi complicate

Tutakesha, haondoki mtu mpaka tule.
 
Nobody knows tomorrow
Jana ghetto mbonji la kigodoro
Kula yenyewe mgogoro
Shaghala, baghala, ndombolo, ndombolo

It's holiday
Watu wana celebrate
Life Is every day
My friend usi complicate
It's holiday
Watu wana celebrate
Life Is every day
My friend usi complicate

Tutakesha, haondoki mtu mpaka tule.
As soon as I step foot in the shop,
I know that I don't know what I want,
Chicken doner, kofte kebab or,
Lamb shish, or mixed special,
Sometimes i get a coffee,
 
Inaonekana wewe ndio unatafuta wa kukualika
Yaani funga yote hasara
Kweli mmefunguliwa mliokuwa mmefungwa
 
Uchoyo huo, mbona ftari za magimbi na mihogo mlikuwa mnawapa ila cha mtume macho yamekutoka??
 
Yani huo msosi ambao mtu akiupiga saivi anaenda kuunya ndio unakufanya ukose utu?
 
Huyo jirani yako ni kijana wa mudi maana hawa ndio wanatabia za kuganda kwenye majumba ya watu hususani wakijua kuna mpunga
 
Ni kweli sisi ni majirani lakini kwanini tokea asubuhi upo hapa kwangu na wakati sijakualika?

Jirani kwanini unakuwa hivi lakini?

Yani tokea asubuhi unabadilisha story tu mara Treni ya Umeme, mara Goli la Yanga, mara Radio ya Alikiba na hauna dalili ya kuondoka.
muulize jirani umejamba nini. mbona nasikia harufu mbovu.
 
Back
Top Bottom