Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 4,058
- 14,382
Ni kweli sisi ni majirani lakini kwanini tokea asubuhi upo hapa kwangu na wakati sijakualika?
Jirani kwanini unakuwa hivi lakini?
Yani tokea asubuhi unabadilisha story tu mara Treni ya Umeme, mara Goli la Yanga, mara Radio ya Alikiba na hauna dalili ya kuondoka.
Jirani kwanini unakuwa hivi lakini?
Yani tokea asubuhi unabadilisha story tu mara Treni ya Umeme, mara Goli la Yanga, mara Radio ya Alikiba na hauna dalili ya kuondoka.