Mzee baba kula utakavyo Mimi huu mwaka wa 5 sasa nakula wake za watu na sikamatwi natumia mbinu mbadala na teknolojia ya hali ya juu kudate nao. Kila kitu kinawezekana bosi. [emoji1] [emoji3] [emoji122] [emoji122]
Geuza upande wa pili wa shilingi uyo mwanamke angekuwa mkeo na anafanya hivyo kwa huyo jamaa mwingne,wewe kama mumewe ungependa afanye nn uyo jamaa kwa mkeo?