Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Haya pitieni huku
sophy27 baby zu Firdaus9 Depal Valentina mzabzab na wengineo
 
Binafsi nawaheshimu sana watanga, haya mabasi yao ya Moud, tashriff, nacharo, kiluwa nk ni mengi mno yanapiga trips za dar tanga mara ngapi kwa siku, watu wanaenda tanga kuna business gani huko jamani...kumbe ni kina Bembela wanafata mambo kuwamaliza watu kama Big
 
[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kinachonishangaza ni the way huo msiba umechukuliwa,hamna hata jirani amehudhuria msiba au hio maiti ya huyo mtoto imetolewa kwa mazingira gani hapo nyumbani?[emoji848][emoji848][emoji848]
Mbona mwandishi ameeleza vizur soma upya na tuliza akili mwana kila kitu kipo wazi
 
Mbona last 2 episode ameeleza haelewi alipona kwa mafuta ya mwamposa au dawa zashangazi bembela
 
Mbona last 2 episode ameeleza haelewi alipona kwa mafuta ya mwamposa au dawa zashangazi bembela
Hakueleza in details ila alichosema hakuelewa kapona vipi na lini alipona sasa maana hata BIGI alimkuta yupo kwenye situation kama yake akiwa chini amezima...Inamaana alipona ghafla hivyo🤔🤔
 
Hakueleza in details ila alichosema hakuelewa kapona vipi na lini alipona sasa maana hata BIGI alimkuta yupo kwenye situation kama yake akiwa chini amezima...Inamaana alipona ghafla hivyo🤔🤔
Nakumbuka anasema mama yake alianza mkanda na mafuta ya mwamposa huku akitumia dawa za mshangazi so hajui kipi kilimponesha...so alipona kwa njia hizo
 
It is almost close yet so far.
 
nina wifi yangu alipata kaz nacharo mwaka jana moja ya masharti ni kutokuvaa nguo za rangi nyekundu, akajisahau siku hio akapiga tshirt nyekundu na suruali nyeusi juu aktupia baibui na mtandio kilichomponza ni lile baibui kupepa naupepo ni yale ambayo mbele yana uwazi vifungo kwa juu tu bosi mwenye gari zake akmuona akamfukuza kma mbwa nakumwambia yeye ni mikosi nanuksi katika biashara yake had leo anahangaika kutafta kaz nakazi yenyewe haikudum hata mwezi tangu aipate na aikose.
 
My boss Bantu Lady the menu has already been served
 
Nimepata shida sana kuelewa ulichokiandika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…