Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Ungemtafutia tu kitambaa cheupe aweke kabeji juu yake kama UMUGHAKA simple like this...
 
Lucha Kalpana na wewe mwenye lijina ligumu Tayukwa mkuje story imeisha na bembela ametusua atlas copco sijakusahau Valentina
 
Dah! Bembela kiboko

Yani BIGI aliingia kwenye 18 za Bembela akajikuta amegeuzwa msukule pamoja na uchawi wake wote 🤣🤣

Mwenye namba za shangazi yake Bembela naziomba tafadhali
 
Tarimo alipona?
 
Tunasubiri
 
Naomba kwenye taglist usinisahau aisee.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Asante sana.
 
Mtt wako wa kumzaa anaweza akawa housegirl wako?
Kitu kilichonishangaza n kuwa huyo mtoto umesema ana mambo ya ajabu mara cjui NI wakala WA uchawi...n.k .so nikauliza km ulimaanisha mtoto wake WA kumzaa au housegirl wake WA mwanzo.....kwahyo unaweza kuzaa mpaka na wachawi aisee hii balaa sasa[emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…