Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Ni kweli... Me mwenyewe binafsi siwezi andika hivi hata kidogo iwe ya kutunga au ya kweli. Kinachonikimbiza siyo kwajili story ya kutunga au magap yaliyopo laa! Bali ni ile asili yangu tu kwamba napenda single narration sipendi episodes.

Niliwahi kuangalia season moja tu nikamaliza na hata hivyo ukiniuliza hata kwa ufupi tu siwezi kuelezea kilichomo ndani yake, ilikuwa inaitwa a man called God. Nyingine nilikaribia kuimaliza na nikaipenda sana ila ikanichosha nikaachana nayo iNaitwa city hunter
 
Hii Tabia mtu akileta kisa chake Au hadithi yake watu wanaanza kuropoka nakudiss, hivi hii Tabia chanzo chake ni nini?!
Mtu anasoma vizur tu then anaanza kubishana na msimuliaji duh! Et Anaweka dought.
Huu ndio uchawi wenyewe.


Mkuu SteveMollel kwa heshima na taadhima; kama umekwazwa na maneno yetu basi utuuwie radhi sana kwani lengo letu ilikuwa ni kujenga na sio kubomoa, wewe ni mahari sana katika utunzi wa hadithi na tunapokushauri au hata kukukosoa ni katika njia ya kuzidi kunoa makali ya umahiri wako, mimi binafsi sina kipaji ulichonacho bali mimi naweza kudai ninacho kipaji cha usomaji na kutafakari mambo na si mimi tu bali hata wapo pia wengine wenye kipaji cha aina hiyo basi nichukue nafasi hii kukusihi uendelee na Episode zifuatazo ili kukidhi haja ya utamu wa hii hadithi yako, hakuna mtu mkamilifu kwani hata sisi (watoa maoni) tunayo mapungufu yetu cha msingi tu ni kukubali kukosolewa na kushauriwa ili mambo yaende, tuwie radhi mkuu ili uendeleze hadithi kwa ajili yetu kwani tunapenda hadithi hiyo iishe KATIKA NJIA YOYOTE UNAYOIONA INAFAA ili roho na tashwishi zetu zitulie.

Karibu mkuu.
 
Tayari ameisha fanyia kazi kipengele hicho. Ameanza kumuingiza na mkewe. Bado mtoto wake, baba na mama mkwe wake. Na wazazi wake hawa nao asiwasahau sana maana atatupa shida ya kuanza kumkumbusha kuwa je hakuwa na wazazi au wakwe.
 
Tayari ameisha fanyia kazi kipengele hicho. Ameanza kumuingiza na mkewe. Bado mtoto wake, baba na mama mkwe wake. Na wazazi wake hawa nao asiwasahau sana maana atatupa shida ya kuanza kumkumbusha kuwa je hakuwa na wazazi au wakwe.


Hayo ya wakwe Watoto, wazazi na mazagazaga mengine ni yako wewe, mimi nimehoji nafasi ya mke tu, kama unataka kumshauri juu ya hayo mazagazaga mengine unaweza kumshauri tu.
 
MHayo ya wakwe Watoto, wazazi na mazagazaga mengine ni yako wewe, mimi nimehoji nafasi ya mke tu, kama unataka kumshauri juu ya hayo mazagazaga mengine unaweza kumshauri tu.
Mbona kama una hasira?mi sijakutaja popote wala sijakutag. But naona kama umepaniki.sijakudiku unapiga simu.tulia maisha ndo haya haya hamna mengine....just cool down nigger.
 
Hii Tabia mtu akileta kisa chake Au hadithi yake watu wanaanza kuropoka nakudiss, hivi hii Tabia chanzo chake ni nini?!
Mtu anasoma vizur tu then anaanza kubishana na msimuliaji duh! Et Anaweka dought.
Huu ndio uchawi wenyewe.

Ujinga, Umaskini na Uchawi
 
Una majanga we jamaa😂😂..
 
And now the color coding starts

Mental slavery at its best

I was right, ulipoanza kuleta ndimu na chumvi kwenye hadithi ya mtu , niliiona dalili ya kilaza wa Anglee terre

Pole sana mzee wa blackness ya grey matter kwenye hadithi iliyompotezea mke wa MOLLEL
 


Kwa heshima ya mleta mada, I spare you, not because I fear you with your as stinking motherfuck..mouth as a public latrine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…