Oli MulunjiTulimbwanji[emoji123]
Ndio ukwel ukimwambia anakuchukia halafu hatoi hata excuse,Huyu jamaa anaenjoy sana kubembelezwa, akiahidi kutuma stori asubuhi basi atatuma usiku, akiahidi jioni basi ujue hyo kesho asubuhi, raha yake kuona watu wanaulizia ulizia story. This is my observation ( mara 4), siko katika kumu-attack msimuliaji. Otherwise,it's an interesting story.
Hii ni chichewa ?Oli Mulunji
Mwenzio anapenda uzi uwe na comments nyingi,alianza kwa speed saiz ameona tumeupenda analeta maringo.Huyu jamaa anaenjoy sana kubembelezwa, akiahidi kutuma stori asubuhi basi atatuma usiku, akiahidi jioni basi ujue hyo kesho asubuhi, raha yake kuona watu wanaulizia ulizia story. This is my observation ( mara 4), siko katika kumu-attack msimuliaji. Otherwise,it's an interesting story.
Akupe excuse wewe mama nani, unamlipa? Kuwa hata na adabu.Ndio ukwel ukimwambia anakuchukia halafu hatoi hata excuse,
Lohmleta story ni zezeta aliye changamka kama mtoto wa Big kama hamnielewi mtaelewa baadae.......
Nina hamu ya kujua ile story iliishajeJamaa alikatisha story na kuhamia telegram, baadhi tuliamua kumfuatilia huko huko hadi mwisho wa story.
Jiandae kushambuliwa.Huyu jamaa anaenjoy sana kubembelezwa, akiahidi kutuma stori asubuhi basi atatuma usiku, akiahidi jioni basi ujue hyo kesho asubuhi, raha yake kuona watu wanaulizia ulizia story. This is my observation ( mara 4), siko katika kumu-attack msimuliaji. Otherwise,it's an interesting story.
Uwe unaangalia aliepost sister, humu pia kuna majangiriNamba 10 umeirudia
SawaTamthilia ya kihindi