Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Nimesoma uku natetemeka
Ntalalaje Leo yalabi
 
Duuu hapa dua za kutosha la sivyo big atatokea usiku
 
Mkuu kwann ulipoona Hali Kama Ile usingepigia simu jirani yako au kutoka nje na mwanao kwa majirani ?
Au alikufunga ufahamu?
 
Usiku wa kuweweseka sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…