Jitahidi usizoee jambo hili utaabika. Nimejilaumu sana

Ujaribu na cha shimo,au unaogopa kuna dole,litaibuka kwenye shimo la choo
 
Nyie ndo mnafanya wanaume wa dar tudharaulike sana yaani unaweza kuja hapa kuanzisha uzi eti unaona ugumu na maumivu kuchuchumaa kwa mda mdogo wa kunya tu jmn umeniboa sana aisee usirusie siku mingine sawa au kama vip futa huu uzi bhana
 
Wanaume wa dar nyie mmeanza kujitokeza tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…