Jitahidini mkishafanikiwa Kimaisha muache Dharau, Kashfa na Dhihaka kwa 'Hustlers' tuliojazana Tanzania sawa?

Jitahidini mkishafanikiwa Kimaisha muache Dharau, Kashfa na Dhihaka kwa 'Hustlers' tuliojazana Tanzania sawa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Miaka ya sitini, miaka ya sabini na miaka ya themanini vijana walikuwa wanahudumia wazee na watoto. Hali haiko hivyo sasa. Kwa sasa, wazee ndio wanahudumia vijana na watoto wao" - @mwigulunchemba1

Chanzo: EastAfricaRadio

Nijuavyo ni kwamba hakuna Kijana ambaye anapenda Kutowajali Wazazi au kuwa na Maisha mliyonayo nyie ambao wengi Wenu tuna Historia zenu kuwa mpo hivyo kwa Kutesa Watu, Kuiba, Kufisadi, Kutoa Sara Makafara, Kudhulumu na kuwa Washirikina na Mafia wakubwa.

Wekeni Sera za Kutosha za Kiuchumi, ondoeni 'Privileges' zenu hasa huko Serikalini mliko, zihimizeni Benki ziache Kukomoa Wakopaji kwa kuwapa 'Interests' za Kuwaumiza, punguzeni Bei za Pembejeo za Kilimo, Imarisheni Misingi sahihi ya Kiuchumi kisha oneni kama kuna Kijana ambaye kamwe hatokuwa na Maendeleo au hatoweza Kuwasaidia ( Kuwajali ) Wazazi / Walezi wake.

Wapuuzi wakubwa nyie!!!!!!
 
Umeamua kufunguka leo jobless...pambana hata kwa lolote jamii haitambui kuwa umeajiriwa au haujajiriwa wao wanachotaka waone maendeleo tu...
 
"Miaka ya sitini, miaka ya sabini na miaka ya themanini vijana walikuwa wanahudumia wazee na watoto. Hali haiko hivyo sasa. Kwa sasa, wazee ndio wanahudumia vijana na watoto wao" - @mwigulunchemba1

Chanzo: EastAfricaRadio

Nijuavyo ni kwamba hakuna Kijana ambaye anapenda Kutowajali Wazazi au kuwa na Maisha mliyonayo nyie ambao wengi Wenu tuna Historia zenu kuwa mpo hivyo kwa Kutess Watu, Kuiba, Kufisadi, Kutoa Sara Makafara, Kudhulumu na kuwa Washirikina na Mafia wakubwa.

Wekeni Sera za Kutosha za Kiuchumi, ondoeni 'Privileges' zenu hasa huko Serikalini mliko, zihimizeni Benki ziache Kukomoa Wakopaji kwa kuwapa Interests za Kuwaumiza, punguzeni Bei za Pembejeo za Kilimo, Imarisheni Misingi sahihi ya Kiuchumi kisha oneni kama kuna Kijana ambaye kamwe hatokuwa na Maendeleo au hatoweza Kuwasaidia ( Kuwajali ) Wazazi / Walezi wake.

Wapuuzi wakubwa nyie!!!!!!
Kuna usemi unasema "Pata Pesa tujue tabia yako halisi". Nadhani una reflect mada ya leo
 
"Miaka ya sitini, miaka ya sabini na miaka ya themanini vijana walikuwa wanahudumia wazee na watoto. Hali haiko hivyo sasa. Kwa sasa, wazee ndio wanahudumia vijana na watoto wao" - @mwigulunchemba1

Chanzo: EastAfricaRadio

Nijuavyo ni kwamba hakuna Kijana ambaye anapenda Kutowajali Wazazi au kuwa na Maisha mliyonayo nyie ambao wengi Wenu tuna Historia zenu kuwa mpo hivyo kwa Kutess Watu, Kuiba, Kufisadi, Kutoa Sara Makafara, Kudhulumu na kuwa Washirikina na Mafia wakubwa.

Wekeni Sera za Kutosha za Kiuchumi, ondoeni 'Privileges' zenu hasa huko Serikalini mliko, zihimizeni Benki ziache Kukomoa Wakopaji kwa kuwapa Interests za Kuwaumiza, punguzeni Bei za Pembejeo za Kilimo, Imarisheni Misingi sahihi ya Kiuchumi kisha oneni kama kuna Kijana ambaye kamwe hatokuwa na Maendeleo au hatoweza Kuwasaidia ( Kuwajali ) Wazazi / Walezi wake.

Wapuuzi wakubwa nyie!!!!!!
Uzi Bora kabisa WA mwaka
 
Kwa vidonge hivi vya GENTAMYCINE ulivyowapa wahusika lazima waelewe...
Donatila hawa Watu kuna muda huwa Wanakera hadi Mtu unakosa Uvumilivu nao na bahati mbaya Kwao na nzuri Kwangu wamekutana na Mtu ambae sichelewi Kufyatuka na Kukufyatukia pale tu ukiiamsha Mizimu yangu ya Kizanaki na Kimakuwa achilia mbali ile ya Kitutsi.
 
Back
Top Bottom