Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kagame hiyo kauli haikubaliki, ameishasema yuko bize kuyarejeaha maeneo ya Rwanda yaliyomegwa i.e. (annexed na DRC)Binafsi ningependa zaidi kama Kenyatta angeitoa hiyo kauli akiwa bado ni Rais wa Kenya, naona ingekuwa na uzito unaostahili.
Lakini kuitoa sasa, sioni kama itakuwa na uzito stahiki kwasababu kama hii kauli isipompendeza Kagame, basi Ruto anaweza kuikana, aseme yale yalikuwa ni mawazo ya Kenyatta himself, na sio ya serikali yake.
Kwa mtindo huu, ndio maana bado naona Kagame ataendelea kuwa msumbufu wa eneo la ukanda huu wa maziwa makuu, ni kama vile marais wengine wa hili eneo wamemuacha atambe, ndio maana nae kila siku anakuja na kauli zake za kibabe na ujuaji.
..Hotuba yake imenitia moyo.
..Amenifurahisha alipozitaka nchi majirani kutoitumia ardhi ya Congo kama uwanja wa vita.
..kuna mapendekezo mengi ambayo yakifanyiwa kazi amani na ustawi utarejea Congo.
Aogopwe vipi wakati Kenya na baadhi ya mataifa yamepeleka vikosi kupambana na M23 wanaofadhiliwa na Rwanda.Binafsi ningependa zaidi kama Kenyatta angeitoa hiyo kauli akiwa bado ni Rais wa Kenya, naona ingekuwa na uzito unaostahili.
Lakini kuitoa sasa, sioni kama itakuwa na uzito stahiki kwasababu kama hii kauli isipompendeza Kagame, basi Ruto anaweza kuikana, aseme yale yalikuwa ni mawazo ya Kenyatta himself, na sio ya serikali yake.
Kwa mtindo huu, ndio maana bado naona Kagame ataendelea kuwa msumbufu wa eneo la ukanda huu wa maziwa makuu, ni kama vile marais wengine wa hili eneo wamemuacha atambe, ndio maana nae kila siku anakuja na kauli zake za kibabe na ujuaji.
Washauwa watu wa kutosha huko m23Hao Fdlr na Adf hayawezi kurudi kwao kirahisi hivyo bila maridhiano na nchi walizotoka ambazo hazitaki kabisa maridhiano nao....kumuambia Kagame awapokee Fdlr ni kutafuta ugomvi.
hata hao waliokubali amani huko Nairobi wape muda uone kama hawarudi msituni.
mtu chake zitto junior Moronight walker