Jitizame kama umerogwa ukiwa nyumbani kwako


Ndugu yangu asante kwa maelezo yako ila maelezo yako mengi uliotoa sijaona dalili zaidi ya kukosea sanna katika kueleza haya masuala kiufupi harut na marut si malaika, iliposwa malakaini haikumaaniisha malaika bali ni milki mbili ya falme mbili za kijini
 
Wachaaa!!
 
Ukiahajua umerogwa unajitibiaje sasa
 
Tupe mbinu ya kujinasua pia
 
Hivi hakuna aliyejaribu humu? Mie nimechukua mkaa mzima na udi nimeweka kwenye mto chakushangaza namuota baba mwenye nyumba akiwa uwan bize na mambo yake na ni mtu sina mawazo naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…