sifa ya kwanza wakati wakutafuta mke bora wakuishi naye huwa ni tabia njema na maadili bora , ndiyo hufuatia sifa nyingine unazopenda wewe. hata kama mke akawa mzuri kama malaika lakini anatabia mbaya kama umalaya, wizi au uuaji razima atakuua au mtaachana.