Jiunge na hope na success club (Hip Club)

Jiunge na hope na success club (Hip Club)

Joined
Apr 19, 2015
Posts
7
Reaction score
2
JIUNGE NA HOPE NA SUCCESS CLUB (HIP CLUB) KWA MAFANIKIO YAKO

1. UTANGULIZI

HIP Club ni chama cha kijamii kilichoanza kazi zake tarehe 3 Machi 2014 na Kupata usajili kwa mujibu wa sheria ya usajili wa vyama vya kijamii nchini tarehe 31 Machi 2015 kikiwa na Wanchama waanzilishi 14. Na sasa tupo kwenye mchakato wa kutafuta wanachama wapya na tukaona tutoe kipaumbele kwa wana JF ambao wanaamini kutoka katika ummoja na lengo letu ni kutanua network ya watu mbalimbali ambao wanamawazo tofauti katika kufikia maendeleo endelevu ya sasa na baadaye.

2. TASWIRA/MALENGO

Kama iliyoainishwa hapo juu chama hiki ni cha kijamii hivyo malengo yake yamelenga katika makundi makuu mawili ambayo ni ya kiuchumi na kijamii kama yafuatayo:-


  • Kijamii katika kundi hili, pamoja na Mambo mengine chama kimelenga na kuweka Mikakati ya kuhakikisha wanachama wanafaidika kwa: (i) Kuwaunganisha pamoja Vijana kwa lengo la kuongeza network (ii)Kuendesha semina na mafunzo kwa wanakikudi kuhusu masuala ya ujasiliamali na ufundi stadi (iii) kujiunga na Mfuko ya Bima ya afya ili kuhakikisha wananikundi hawapati changamoto za matibabu (iv) Kusaidiana katika matatizo ya wanakikundi kama kufiwa na maradhi n.k

  • Kiuchumi katika kundi hili, pamoja na Mambo mengine chama kimelenga na kuweka Mikakati ya kuhakikisha wanachama wanafaidika kwa: (i) Kuunganisha taasisi zenye malengo ya kufanya ujasiliamali (ii)Kuhakikisha nyenzo za kufanyia ujasiliamali zinapatikana kwa wakati mwafaka (iii) Kubuni, kuanzisha, kuratibu na kuendesha miradi yenye tija kwa wanakikundi (iv) Kuwashawishi wanakikundi kupambana na umasikini (v)Kuhamasisha wanakikundi kujitolea katika shughuli mbalimbali za chama (vi) Kupokea, kuhifadhi, na kufanya matumizi sahihi ya fedha zitakazokusanywa na chama kutoka kwenye vyazo vyake na (vii) Kutafuta masoko yenye tija kwa bidhaa zitakazozalishwa na wanachama.

3. UTARATIBU WA KUJIUNGA

i. Makala ya kitambulisho
ii. Mdhamini ambaye ni Mwanachama
iii. Fomu ya kujiunga sh.10,000 na kiingilio sh.30,000
iv. Ada ya Mwaka ni Sh. 10,000
v. Umri kati ya miaka 25 hadi 28


4. MICHANGO YA KILA MWEZI

Kwa kuwa tunadhamini maisha ya sasa na maisha tulivu ya kizazi chako cha badaye. kwa sasa thamani ya mchango wako kwa mwezi ni sh. 20,000 na itabadilika kulingana na makubaliano ya wanachama kwenye kikao mbalimbali vya chama.

5. MAWASILIANO YA CHAMA

Kama kwa sasa UNAISHI DAR ES SALAAM na upo tayari kujiunga nasi piga namba zifuatazo ili uweze pata wadhamini na kujua taratibu za ziada za kuungana nazi.

Na. Jina Uhusika kwa chama Namba ya simu
1 Bahati Sanga Mwenyekiti 0718137090
2 Deogratius Njechele Mweka Hazina 0712026855
3 Issa Gabriel Mwenyekiti Kamati ya Katiba na Kanuni 0752757787
4 Omary Mhando Mwenyekiti Kamati ya Nidhamu 0715699168
5 Nelson Kihongo Kamati ya Miradi na Uwekezaji 0714202135


Aidha, wasilisha malipo yako kupitia benki ya DCB akaunti Namba 0620100000058 Jina la Akaunti ni HOPE IN SUCCESS CLUB tawi la Upanga

NB. Kwa wana JF tunatoa nafasi kumi (10) tu

Karibu Uungane Nasi Kwa Utulivu Wa Nafsi Ya Sasa Na Baadaye
IMETOLEWA NA KATIBU KWA NIABA YA MWENYEKITI WA CLUB
 
JIUNGE NA HOPE NA SUCCESS CLUB (HIP CLUB) KWA MAFANIKIO YAKO

1. UTANGULIZI

HIP Club ni chama cha kijamii kilichoanza kazi zake tarehe 3 Machi 2014 na Kupata usajili kwa mujibu wa sheria ya usajili wa vyama vya kijamii nchini tarehe 31 Machi 2015 kikiwa na Wanchama waanzilishi 14. Na sasa tupo kwenye mchakato wa kutafuta wanachama wapya na tukaona tutoe kipaumbele kwa wana JF ambao wanaamini kutoka katika ummoja na lengo letu ni kutanua network ya watu mbalimbali ambao wanamawazo tofauti katika kufikia maendeleo endelevu ya sasa na baadaye.

2. TASWIRA/MALENGO

Kama iliyoainishwa hapo juu chama hiki ni cha kijamii hivyo malengo yake yamelenga katika makundi makuu mawili ambayo ni ya kiuchumi na kijamii kama yafuatayo:-



  • Kijamii katika kundi hili, pamoja na Mambo mengine chama kimelenga na kuweka Mikakati ya kuhakikisha wanachama wanafaidika kwa: (i) Kuwaunganisha pamoja Vijana kwa lengo la kuongeza network (ii)Kuendesha semina na mafunzo kwa wanakikudi kuhusu masuala ya ujasiliamali na ufundi stadi (iii) kujiunga na Mfuko ya Bima ya afya ili kuhakikisha wananikundi hawapati changamoto za matibabu (iv) Kusaidiana katika matatizo ya wanakikundi kama kufiwa na maradhi n.k

  • Kiuchumi katika kundi hili, pamoja na Mambo mengine chama kimelenga na kuweka Mikakati ya kuhakikisha wanachama wanafaidika kwa: (i) Kuunganisha taasisi zenye malengo ya kufanya ujasiliamali (ii)Kuhakikisha nyenzo za kufanyia ujasiliamali zinapatikana kwa wakati mwafaka (iii) Kubuni, kuanzisha, kuratibu na kuendesha miradi yenye tija kwa wanakikundi (iv) Kuwashawishi wanakikundi kupambana na umasikini (v)Kuhamasisha wanakikundi kujitolea katika shughuli mbalimbali za chama (vi) Kupokea, kuhifadhi, na kufanya matumizi sahihi ya fedha zitakazokusanywa na chama kutoka kwenye vyazo vyake na (vii) Kutafuta masoko yenye tija kwa bidhaa zitakazozalishwa na wanachama.


3. UTARATIBU WA KUJIUNGA

i. Makala ya kitambulisho
ii. Mdhamini ambaye ni Mwanachama
iii. Fomu ya kujiunga sh.10,000 na kiingilio sh.30,000
iv. Ada ya Mwaka ni Sh. 10,000
v. Umri kati ya miaka 25 hadi 28


4. MICHANGO YA KILA MWEZI

Kwa kuwa tunadhamini maisha ya sasa na maisha tulivu ya kizazi chako cha badaye. kwa sasa thamani ya mchango wako kwa mwezi ni sh. 20,000 na itabadilika kulingana na makubaliano ya wanachama kwenye kikao mbalimbali vya chama.

5. MAWASILIANO YA CHAMA

Kama kwa sasa UNAISHI DAR ES SALAAM na upo tayari kujiunga nasi piga namba zifuatazo ili uweze pata wadhamini na kujua taratibu za ziada za kuungana nazi.

Na. Jina Uhusika kwa chama Namba ya simu
1 Bahati Sanga Mwenyekiti 0718137090
2 Deogratius Njechele Mweka Hazina 0712026855
3 Issa Gabriel Mwenyekiti Kamati ya Katiba na Kanuni 0752757787
4 Omary Mhando Mwenyekiti Kamati ya Nidhamu 0715699168
5 Nelson Kihongo Kamati ya Miradi na Uwekezaji 0714202135


Aidha, wasilisha malipo yako kupitia benki ya DCB akaunti Namba 0620100000058 Jina la Akaunti ni HOPE IN SUCCESS CLUB tawi la Upanga

NB. Kwa wana JF tunatoa nafasi kumi (10) tu

Karibu Uungane Nasi Kwa Utulivu Wa Nafsi Ya Sasa Na Baadaye
IMETOLEWA NA KATIBU KWA NIABA YA MWENYEKITI WA CLUB
 
Nimependa kujiunga na kundi lenu..ila naomba nianze mwisho wa mwezi huu wa nne. Ni matumaini yangu kuwa ombi langu limekubaliwa.
 
Nataka sana kujiunga na chama ...Lakini umri ni above 33!! nanyi masharti yenu yakojee?!!!

Mkuu hii ishu ya umri inazungumzika lakini njia hii ya kupata wanachama kwa njia ya mtandao ina changamoto zake sana ndo maana tukaingiza hako akipengele kwenye kanuni zetu lakini katiba mwanachama anatakiwa kuwa na zaidi ya miaka 18
 
Wazo lenu ni zuri....lakini hicho kigezo cha umri ni uj.i.ng.a mtupu.

Mkuu samahani management ya vyama vya kijamii vinachangamoto kubwa hivyo ni lazima muwe na kanuni imara. Aidha, hicho kigezo kipo kwa wanachama tutakaowapata kwa njia hii ya mtandano tu.
 
Hii idea naikubari sasa ni sawa sawa na GYKANA CLUB NA KIGAMBONI CLUB ni rahisi kupiga hela ukiwa kwenye group than individually count me in
 
Kikwazo ni umri. Je mtu wa umri zaidi ya 28 inakuwaje na je akiwa na miaka 25 na akakaa hadi kufikisha 28 itabidi itakuwaje itabidi atoke au?
 
Tatizo umri! Na najiuliza kwanini mnalenga zaidi umri huo? Kama malengo ni vijana nadhani ujana ni zaidi ya hapo na unaweza kuwa chini ya hapo.

Mghosi
 
Kikwazo ni umri. Je mtu wa
umri zaidi ya 28 inakuwaje na je akiwa na miaka 25 na akakaa hadi
kufikisha 28 itabidi itakuwaje itabidi atoke au?

Mkuu nimeongea na mwenyekiti wa hiki chama ili nijiunge nacho kanitoa wasiwasi kuhusu umri kaniambia katiba ni lazima uwe na umri wa miaka 18 lakini wanachama watakao wapata kwa njia ya mtandao wangependa wawe na umri unaofanana lakini ni jambo linalozungumzika
 
Kikwazo ni umri. Je mtu wa
umri zaidi ya 28 inakuwaje na je akiwa na miaka 25 na akakaa hadi
kufikisha 28 itabidi itakuwaje itabidi atoke au?

Pia kaniambia hakuna ukomo wa uanachama kwa sababu ya umri kwa kuwa uanachama ni wa kuridhishana unautumikia wewe, mwanao hadi kitukuu
 
Tatizo umri! Na najiuliza
kwanini mnalenga zaidi umri huo? Kama malengo ni vijana nadhani ujana ni
zaidi ya hapo na unaweza kuwa chini ya hapo.

Mghosi

wameniambia umri sio tatizo sana wameweka hivyo kwa wanachama watakaowapata kwa njia ya mtandao pekee ongea nao watakupa maelezo
 
Hapo kwenye umri kuna walakin. Kwanini sisi "wazee" hatutakiwi? kumbukeni kila kijana kuna siku atakuwa mzee.
 
Mkakati huu ni mzuri sana naamini kila kijana aliyepita hapa atahitaji aweze kuingia ktk group hili|naamini hili ni wazo zuri na linawezekana .. ..
 
B
jiunge na hope na success club (hip club) kwa mafanikio yako

1. Utangulizi

hip club ni chama cha kijamii kilichoanza kazi zake tarehe 3 machi 2014 na kupata usajili kwa mujibu wa sheria ya usajili wa vyama vya kijamii nchini tarehe 31 machi 2015 kikiwa na wanchama waanzilishi 14. Na sasa tupo kwenye mchakato wa kutafuta wanachama wapya na tukaona tutoe kipaumbele kwa wana jf ambao wanaamini kutoka katika ummoja na lengo letu ni kutanua network ya watu mbalimbali ambao wanamawazo tofauti katika kufikia maendeleo endelevu ya sasa na baadaye.

2. Taswira/malengo

kama iliyoainishwa hapo juu chama hiki ni cha kijamii hivyo malengo yake yamelenga katika makundi makuu mawili ambayo ni ya kiuchumi na kijamii kama yafuatayo:-



  • kijamii katika kundi hili, pamoja na mambo mengine chama kimelenga na kuweka mikakati ya kuhakikisha wanachama wanafaidika kwa: (i) kuwaunganisha pamoja vijana kwa lengo la kuongeza network (ii)kuendesha semina na mafunzo kwa wanakikudi kuhusu masuala ya ujasiliamali na ufundi stadi (iii) kujiunga na mfuko ya bima ya afya ili kuhakikisha wananikundi hawapati changamoto za matibabu (iv) kusaidiana katika matatizo ya wanakikundi kama kufiwa na maradhi n.k

  • kiuchumi katika kundi hili, pamoja na mambo mengine chama kimelenga na kuweka mikakati ya kuhakikisha wanachama wanafaidika kwa: (i) kuunganisha taasisi zenye malengo ya kufanya ujasiliamali (ii)kuhakikisha nyenzo za kufanyia ujasiliamali zinapatikana kwa wakati mwafaka (iii) kubuni, kuanzisha, kuratibu na kuendesha miradi yenye tija kwa wanakikundi (iv) kuwashawishi wanakikundi kupambana na umasikini (v)kuhamasisha wanakikundi kujitolea katika shughuli mbalimbali za chama (vi) kupokea, kuhifadhi, na kufanya matumizi sahihi ya fedha zitakazokusanywa na chama kutoka kwenye vyazo vyake na (vii) kutafuta masoko yenye tija kwa bidhaa zitakazozalishwa na wanachama.


3. Utaratibu wa kujiunga

i. Makala ya kitambulisho
ii. Mdhamini ambaye ni mwanachama
iii. Fomu ya kujiunga sh.10,000 na kiingilio sh.30,000
iv. Ada ya mwaka ni sh. 10,000
v. Umri kati ya miaka 25 hadi 28


4. Michango ya kila mwezi

kwa kuwa tunadhamini maisha ya sasa na maisha tulivu ya kizazi chako cha badaye. Kwa sasa thamani ya mchango wako kwa mwezi ni sh. 20,000 na itabadilika kulingana na makubaliano ya wanachama kwenye kikao mbalimbali vya chama.

5. Mawasiliano ya chama

kama kwa sasa unaishi dar es salaam na upo tayari kujiunga nasi piga namba zifuatazo ili uweze pata wadhamini na kujua taratibu za ziada za kuungana nazi.

na. Jina uhusika kwa chama namba ya simu
1 bahati sanga mwenyekiti 0718137090
2 deogratius njechele mweka hazina 0712026855
3 issa gabriel mwenyekiti kamati ya katiba na kanuni 0752757787
4 omary mhando mwenyekiti kamati ya nidhamu 0715699168
5 nelson kihongo kamati ya miradi na uwekezaji 0714202135


aidha, wasilisha malipo yako kupitia benki ya dcb akaunti namba 0620100000058 jina la akaunti ni hope in success club tawi la upanga

nb. Kwa wana jf tunatoa nafasi kumi (10) tu

karibu uungane nasi kwa utulivu wa nafsi ya sasa na baadaye
imetolewa na katibu kwa niaba ya mwenyekiti wa club


hope&success club ____________
hili ni group muhimu zaidi katika jamii pia changamoto zinaonesha mafanikio pia..
Nimependa hope group club___
 

Kanuni zenu zilivyo, muda wa kuwa kwenye chama ni miaka 3 tu
 
Back
Top Bottom