Jiwe baada ya Jiwe: BASATA isipoingilia hii vita ya hizi lebo 3 Wasanii wengine 3 watasahaulika

Jiwe baada ya Jiwe: BASATA isipoingilia hii vita ya hizi lebo 3 Wasanii wengine 3 watasahaulika

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1624738050490.png


Naona kina baraka prince, Nay wa mitego na wengine wmetoa kazi zao ila kwa hizi fujo zinazofanywa na WCB, Konde ganf na kiba wasanii wengine wanapata wakati mgumu sana kuvuma.

Rapcha kutoka bongo records alivuma na Lisa ila hii vita ya vigogo ilipoanza katupwa

1624737813271.png
 
Tunataka kuona wasanii wanakua wengi, na mambo mswano.
Ila kiba jamani hajawahi kukosea yaan. Lol
 
Konde boy alipokuwa WCB diamond alikuwa anatoa nyimbo kali,inaonekana alikuwa anasaidia na Kondeboy ,lakini Kondeboy alipotoka diamond akaanza kutoa nyimbo za hovyo za mapigo ya Ray Vanny
 
Juzi nilikuwa nasikiliza mgahawa ,Babalevo alisema wcb hawapati changamoto kutoka kwa Harmonize ila Alikiba ndo anawatoa jasho
 
Konde boy alipokuwa WCB diamond alikuwa anatoa nyimbo kali,inaonekana alikuwa anasaidia na Kondeboy ,lakini Kondeboy alipotoka diamond akaanza kutoa nyimbo za hovyo za mapigo ya Ray Vanny
Diamond ametoa hits kibao wakati Chinga boy bado yuko kijijini, na nikiangalia Jeje na Waah zilivyo hits bado nashindwa kuelewa unavuta ganja ya wapi.
Turudi kwa Chinga, toka atoe Kwangwaru na Never give up je ana nyimbo yoyote ya maana?
They say love is blind and so I agree.
 
Back
Top Bottom