Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Maandalizi kwa ajiri ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Sgr kati ya Mwanza na Isaka yamekamilika. Na jiwe la msingi litawekwa wakati wowote na rais wa JMT, SSH.
Ziara ya kukagua maandalizi hayo imefanywa na waziri wa ujenzi Leonard Chamuriho akiwa na naibu wake Mwita Mwikabe na maandalizi kwa ajiri ya uzinduzi wa ujenzi yamekamilika.
Hii itakuwa ni nafasi ya watanzania kupima kampuni ipi ipo faster kukamilisha ujenzi wa reli hii ya Sgr kadri ilivyopewa kandarasi maana kampuni ya kituruki ya Yapi Merkezi inachechemea zaidi ya miaka minne kukamilishsa kipande cha Dar mpaka Moro.
Ziara ya kukagua maandalizi hayo imefanywa na waziri wa ujenzi Leonard Chamuriho akiwa na naibu wake Mwita Mwikabe na maandalizi kwa ajiri ya uzinduzi wa ujenzi yamekamilika.
Hii itakuwa ni nafasi ya watanzania kupima kampuni ipi ipo faster kukamilisha ujenzi wa reli hii ya Sgr kadri ilivyopewa kandarasi maana kampuni ya kituruki ya Yapi Merkezi inachechemea zaidi ya miaka minne kukamilishsa kipande cha Dar mpaka Moro.