Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Akili za matopeRais aachane na iyo kwanza...hiyo hela ya kipande hicho imwagwe mtaani mzunguko wa hela uwepo mjini
Siyo tu imwage mtaani bali awafuate kila nyumba awajaza mifukoni mwenu kabisa.Rais aachane na iyo kwanza...hiyo hela ya kipande hicho imwagwe mtaani mzunguko wa hela uwepo mjini
Akili za matope
Dogo Jikite na ujenge hoja acha kulialiaAkili za matope
Bila shaka wewe ni bavichaRais aachane na iyo kwanza...hiyo hela ya kipande hicho imwagwe mtaani mzunguko wa hela uwepo mjini
Tena bavicha mfuasi wa yule jamaa ambaye dishi limeyumbaBila shaka wewe ni bavicha
Isaka - Rusumo lini?Kipande cha Morogoro - Dodoma - Singida kina changamoto za kijiographia, Bonde la Ufa, Mito mikorofi kuchelewa ni kawaida ila hiki kipande cha Mwanza - Kahama hakina mziki mkubwa. Pia Isaka - Rusumo kuna shughuli milima ya kuchoronga ni mingi sana nacho kitachukua muda
Sijajua ila nilisikia AFDB wata finance hicho kipande kwa 100%, mzigo wa Mwz - Khm ukikamilika itajulikanaIsaka Rusumo lini?