clion dismas
Senior Member
- Aug 6, 2017
- 185
- 169
Habari ndugu zangu, poleni na majukumu ya hapa na pale naamini MUNGU ni mwema kwa kila jambo, HEBU TUHABARISHANE NA TUELIMISHANE KIDOGO KATIKA MASWALA YA LISHE NA VIFO.
Kabla ya yote yale, tunaamini ya kwamba MUNGU ndiye aliyetuumba na ndiye alituagiza tule nini kabla ya anguko la mwanadamu. Ukisoma kitabu cha biblia, mwanzo 1:29 utayakuta maagizo ya MUNGU kuhusu chakula kitupasacho.
"TIZAMA, NIMEWAPA KILA MCHE UTOAO MBEGU ULIO KATIKA USO WA DUNIA NA KILA MTI UZAAO MATUNDA YENYE MBEGU NDANI YAKE, MTAVITUMIA KAMA CHAKULA" (mwanzo 1:29)
Ndugu yangu, ingia katika tafiti nyingi, scientific journals na reserchs nyingi zinzonyesha magonjwa mengi yasiyoambukizwa yanaongezeka kwa kasi ya kutisha na hakika ndiyo yanaongoza kwa kukatiza maisha yetu leo hii duniani.
magonjwa ya kisukari, shinikizo la juu la damu, magonjwa ya saratani , magonjwa ya macho, magonjwa ya moyo na mengineyo, yamekua yakiongezeka kwa kasi kubwa. na pia, magonjwa kama haya ndiyo vifo vyake vinaripotiwa kwa wingi sana.
Naam, vifo 2 vinavyobakia kati ya 5 vimehusishwa na ajali za barabarani na nyingine kwa ujumla na nyingine ni maradhi ya kawaida ya kuambukizwa.
AJABU NI HII. VITUO VINGI VYA TIBA MBADALA VIMESHAMIRI DUNIANI LEO HII, WANATUMIA VYAKULA NA MATUNDA KATIKA KUTIBU MAGONJWA HAYA KAMA UIYAWAHI MAPEMA. TENE, WANAYATIBU KWA GHARAMA KUBWA SANA.
NIMSHUHUDIE MAMA YANGU, KAZUNGUKA HOSIPTALI NYINGI KUBWA HAPA MJINI, LAKINI HAKUPATA AFUENI YOYOTE. KITU KILICHOMTIBU NI MATUNDA, NDIO, MATUNDA NA MBOGAMBOGA NA NAFAKA NZIMA.
Tiba mbadala, wnafuata agizo la MUNGU, chakula ni matunda na nafaka nzima ndugu zangu.
JITATHMINI KIDOGO, KILE KINACHOKUSUMBUA, UKIENDA HOSIPTALINI, UNAAMBIWA JAMBO GANI? 1. TUMIA NAFAKA NZIMA, 2. TUMIA MATUNDA MENGI NA 3. TUMIA MBOGAMBOGA.
KWANINI UNGOJE MPAKA UAMBIWE? ANZA KUISHI MAISHA YA FURAHA, MAISHA YA NAFAKA NZIMA, MATUNDA NA MBOGAMBOGA, MUNGU NA AKUBARIKI SANA.
KWA KIFUPI, WAWEZA FUATA HII LINK KUTAZAMA VIDEO NILIYOELEZEA HAYA YOTE KWA UFUPI ZAIDI.
Kabla ya yote yale, tunaamini ya kwamba MUNGU ndiye aliyetuumba na ndiye alituagiza tule nini kabla ya anguko la mwanadamu. Ukisoma kitabu cha biblia, mwanzo 1:29 utayakuta maagizo ya MUNGU kuhusu chakula kitupasacho.
"TIZAMA, NIMEWAPA KILA MCHE UTOAO MBEGU ULIO KATIKA USO WA DUNIA NA KILA MTI UZAAO MATUNDA YENYE MBEGU NDANI YAKE, MTAVITUMIA KAMA CHAKULA" (mwanzo 1:29)
Ndugu yangu, ingia katika tafiti nyingi, scientific journals na reserchs nyingi zinzonyesha magonjwa mengi yasiyoambukizwa yanaongezeka kwa kasi ya kutisha na hakika ndiyo yanaongoza kwa kukatiza maisha yetu leo hii duniani.
magonjwa ya kisukari, shinikizo la juu la damu, magonjwa ya saratani , magonjwa ya macho, magonjwa ya moyo na mengineyo, yamekua yakiongezeka kwa kasi kubwa. na pia, magonjwa kama haya ndiyo vifo vyake vinaripotiwa kwa wingi sana.
Naam, vifo 2 vinavyobakia kati ya 5 vimehusishwa na ajali za barabarani na nyingine kwa ujumla na nyingine ni maradhi ya kawaida ya kuambukizwa.
AJABU NI HII. VITUO VINGI VYA TIBA MBADALA VIMESHAMIRI DUNIANI LEO HII, WANATUMIA VYAKULA NA MATUNDA KATIKA KUTIBU MAGONJWA HAYA KAMA UIYAWAHI MAPEMA. TENE, WANAYATIBU KWA GHARAMA KUBWA SANA.
NIMSHUHUDIE MAMA YANGU, KAZUNGUKA HOSIPTALI NYINGI KUBWA HAPA MJINI, LAKINI HAKUPATA AFUENI YOYOTE. KITU KILICHOMTIBU NI MATUNDA, NDIO, MATUNDA NA MBOGAMBOGA NA NAFAKA NZIMA.
Tiba mbadala, wnafuata agizo la MUNGU, chakula ni matunda na nafaka nzima ndugu zangu.
JITATHMINI KIDOGO, KILE KINACHOKUSUMBUA, UKIENDA HOSIPTALINI, UNAAMBIWA JAMBO GANI? 1. TUMIA NAFAKA NZIMA, 2. TUMIA MATUNDA MENGI NA 3. TUMIA MBOGAMBOGA.
KWANINI UNGOJE MPAKA UAMBIWE? ANZA KUISHI MAISHA YA FURAHA, MAISHA YA NAFAKA NZIMA, MATUNDA NA MBOGAMBOGA, MUNGU NA AKUBARIKI SANA.
KWA KIFUPI, WAWEZA FUATA HII LINK KUTAZAMA VIDEO NILIYOELEZEA HAYA YOTE KWA UFUPI ZAIDI.