JJ Mwaka na Isaac Ndodi, ni nani tiba yake inaaminika zaidi?!

Aventus

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2013
Posts
2,011
Reaction score
2,168
Hapa ni nani tabibu wa kweli ambaye tiba yake inaaminika? Maana nimetumia dawa za dokta Rahabu hazijansaidia pamoja na kuuzwa gharama kubwa!
 
hapa ni nan tabibu wa kwel ambaye tiba yake inaaminika?maana nmetumia dawa za dokta rahabu hazijansaidia pamoja na kuuzwa gharama kubwa
Kwenye title umewataja jj mwaka na isaac ndodi. Kwenye thread unazungumzia
dawa za rahabu. Nini hasa nia yako?
 
Hii ni mada ya uthibitisho hao matabibu uliowataja kila mmoja kabobea kwenye eneo lake.
Wagonjwa watakuthibitishia
 
Kwenye title umewataja jj mwaka na isaac ndodi. Kwenye thread unazungumzia
dawa za rahabu. Nini hasa nia yako?

nmemzungumzia rahabu sbab ni tapel.kwa kuwa cjapona nataka nijaribu na hao wengne.mwenye uelewa anifafanulie
 
nmemzungumzia rahabu sbab ni tapel.kwa kuwa cjapona nataka nijaribu na hao wengne.mwenye uelewa anifafanulie

huyo hakun jipy katubebesha vidumu vinne mjomba wang alikuwa anasumbuliwa na vidonda vya tumbo lakin wap;hela nying tiba zero
 
Inategemea unaumwa nn coz hao wote ulowataja wana vitu wanavyotibia c kila ugonjwa
 
Wote hawaaminiki. Maneno mengi tu.

Too good to be true

Nasikitika kama hili ndilo Jukwaa la Great thinkers. Na nikiri kuwa sijawahi kutibiwa na daktari yoyote kati ya hawa ila:

1. Kitabibu: Ili uainishe tiba ya nani imekusaidia yategemea sana na wewe mgonjwa . Je umejieleza vema matatizo yako? Umetumia dawa kama ulivyoelekezwa , Na unaamini kuwa utapona? . Ni kujishushia heshima ukisema Muhimbili au dokta fulani ni tapeli wakati hujaanisha utapeli huo umetokana na nini. Nafikiri kwa hoja hizi jukwaa hili linaweza kujitofautisha na majukwaa ya udaku na umbea kama facebook . Kwenye hayo maneno mengi unayosema kuwa wanayo, umewahi kukaa chini na kusikiliza na kufanya uchambuzi binafsi kujua kipi cha kweli kipi sicho? au maneno mengi na uelewa mdogo?

2. Unajaribu kufananisha madaktari wawili waliobobea kwenye fani mbili tofauti . Ni dhahiri hata wewe / au mleta mada ni mpotoshaji sana. Daktari bingwa wa wanawake VS general doctor wapi na wapi?

3. Tatu mleta mada anawafanisha madktari wenye fani ya udaktrari na Rahabu ambaye si daktari kifani (yaani hajasomea medicine) ; huwezi kupata mlinganisho sawa . Pia hapa mleta mada amepotoka.

4. Kuna mchangiaji mmoja kakurupuka naye kusema unaumwa nini , njoo kwangu utapona?? seriously? Yani kabla hata hujajua kinachomsibu au kumualika kwenye ushauri na utambuzi wa tatizo lake tushakimbilia na "njoo kwangu".
 
Hapa ni nani tabibu wa kweli ambaye tiba yake inaaminika? Maana nimetumia dawa za dokta Rahabu hazijansaidia pamoja na kuuzwa gharama kubwa!

nenda hapo bungoni ULIZA RADTECH DIAGNOSTIC CLINIC you shall admire!
 

rahabu, ndondi na mwaka.wametangaza wanatibu vidonda vya tumbo
 
Wanasoma dalili za magonjwa "SING AND SYMPTOMS " kwenye vitabu na mitandao na kuanza kwatisha wagonjwa pindi utakapoona dalili hizo alizozieleza unazo utaamini kuwa kweli ni tibabu kumbe ni matapeli wa kutupwa. Nawaomba wamiliki wa TV hasa hasa chenel------- Muwaonee huruma wagonjwa wa Tanzania jinsi wanavyotapeliwa kwa hao matapeli wanaonunua muda wa hewani kwenye TV zenu na kuibia wagonjwa.
 

Kati ya waliotajwa na mdau hapo juu, nani ni doctor wa medicine ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…