thanks man
ntajaribu
So trueHuyo JJ Mwaka mwaka juzi niliacha 160,000/- yangu kwenye ki-clinic chake uchwara pale Ilala Bungoni na kupona sikupona nikaja kupona kwa dawa niliyonunua tsh4,000/- kwa hawa wachuuzi wa mitaani na niliitumia almost siku5 tu hadi leo tatizo limeisha,Mwaka dawa zake ni nyingi na unakuwa busy zaidi ya mwezi ukinywa dawa.wakati mwengine hawa wanaojitangaza sana ni wababaishaji bora wa mitaani but nako kumeingiliwa huezi'jua tapeli ni yupi na mkweli ni yupi.