Ataenda IKULU................
Thubutu yake! hapo tu anaombea tu aliowahonga wasikoseeAtulie ikuru na kuanza kazi ya kukamilisha yale yote aliyoyanza kwa kasi mpya zaidi na ari mpya zaiidi !
sina maana hiyo!una maana kashaiba vya kutosha?
Hapa....Msoga
Yaani hii ni dharau kubwa sana, tena nadhani ni moja kati ya vitu vitakavyomtafuna. Kwani hao watanzania wote anaowategemea kwa kura wanazo hizi Gum boot, na kama hawana, mbona yeye kavaa.