JK aikwepa Mei Mosi... Rais Kikwete hatahudhuria Mei mosi


Isayamwita: naomba utuambie ni mzigo gani alioachiwa Jk na Mkapa ambao ameshindwa kuutua kwa miaka hii 2 na nusu?
Mkapa alimwachia siyo tu urais wa nchi bali hata uenyekiti wa chama mwaka 2006, sasa kazi ilikuwa kwake JK kuufanyia kazi. Pia alikuwa ana uwezo wa kuchagua mawaziri wapya kabisa kwani aliwaleta akina Membe au siyo? Na hao wageni tukajua ni washikaji na wako pale kwa ajili ya ulaji. Hebu cheki RA alivyoutwaa hazina ya chama! Sasa hapo Mkapa amehusika vipi?

Sisi wakristo tunasema kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe, sasa JK naye akubali kimeo hiki ni cha kwake na au bebe, face it like a man! Tumechoka na vijisababu vyake! (channelling Chenge with his vijisenti)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…