JK Akijirusha baada ya kufunga mkutano wa UCHUMI

Zuma kiboko kwa kudua,
Najua tu lazima alifunika ukumbi mzima..
 
wahishimiwa wenu wanacheza KIDUKU!!!
 



Huyu dada anayecheza na Shein ni nani? Maana ni mrembo wa haja!
 
Aibu tupu, hasa nchi yako inapokuwa bado inamatatizo na migogoro mengi aliyoisababisha yeye na utawala wake yeye anaselebuka! This is not true bwana? Let us put our hand together na tushikilie kunako ili october awe out of office!
 
MIMI NIMEKUWA NA CHUKI NA SURA YA JK.....tayari limenitoka.
 



Huyu dada anayecheza na Shein ni nani? Maana ni mrembo wa haja!

Huyu Dada ni huyu hapa cheki maelezo yenye bold...

RAIS Jakaya Kikwete amewateua wanawake watatu kuwa maafisa katika ofisi yake binafsi. Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu iliyopatikana jana, walioteuliwa ni Elsie Kanza kuwa msaidizi wa Rais wa Mambo ya Uchumi, Fatma Mwasa kuwa Msaidizi wa Rais wa Masuala ya Jamii na Premiere Kibanga kuwa Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi. Taarifa hiyo inaeleza kuwa Kibanga atakuwa akishirikiana na Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi wa sasa, Maura Mwingira.
Kabla ya uteuzi huo, Kanza alikuwa msaidizi maalumu wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Mwasa alikuwa Mkurugenzi wa Uhamasishaji na Habari wa TACAIDS na Kibanga alikuwa Afisa Habari wa Shirika la Wakimbizi Duniani (UNHCR) Kusini mwa Sudan . Taarifa inaeleza kuwa usteuzi huo unaanza mara moja
 

Elsie Kanza (2008 Tutu Fellow) addresses the assembly of Presidents, Ministers, Ambassadors and other dignitaries at the launch of the Young African Leaders Awards programme
 

Vipi mkeo akiteuliwa na Muungwana kwenye ofisi yake binafsi, I am trying to think loud....
 
baada ya kazi mtu huburudika
 
Sioni tatizo la raisi kuburudika, kwani amevunja sheria mbona hao wengine wanacheza huo muziki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…