JK alihamisha watoto wake St. Patric school Arusha baada ya uchaguzi 2010

kwa kuwa amejiridhisha kuwa hali ya arusha kwa sasa ni shwari ,nategemea vijana watarudi kwenye shule waipendayo ya st patrick.
 
Hang on !!!!!!!!! Rais yeyote ambaye sio fisadi watoto wake husoma ndani ya nchi tena shule za serikali huyu JE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Na huko Malawi ni salama! hii ni moja ya indicators za watanzania wasiokuwa wazalendo na nchi hii.
 
Daaaaaah ! Yaaani kama kwa bomu la juzi tunakamata kininja katoto kake kamoja na Alafu tunatoa Tangazo tutafutie alielipua bomu na kupiga risasi na sisi tukupe mwanao....

Angekufa kwa Presha !
 
Daaaaaah ! Yaaani kama kwa bomu la juzi tunakamata kininja katoto kake kamoja na Alafu tunatoa Tangazo tutafutie alielipua bomu na kupiga risasi na sisi tukupe mwanao....

Angekufa kwa Presha !

Sababu ya kuanguka mtihani wa O'level Mwanaasha kumbe alimhamisha toka shule nzuri na sijui alimhamishia shule gani iliyonfanya aangukie pua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…