The Dreamer
JF-Expert Member
- Feb 2, 2009
- 1,282
- 21
Mkuu kwa ripoti zilizotufikia ni kwamba uchakachuaji ulikuwepo big time. ila bahati yao mbaya sehemu nyingi walikamatwa na sehemu nyingi kura zao za uchakachuaji hazikufikia kura za kweli.
Wizi unafanyika wa kutisha na subiri wakati wa total utaijua CCM...Mijizi mikubwa.
Hata wangetaka kuiba...
Haiukuwa tu kati ya zile siku...amabazo wizi ungekuwa upande wao...!!
Hata wizi uliwakataa ....!