Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Jmani tumsamehe huyu kiongozi wetu kwa kuwa alishapoteza mwelekeo siku nyingi!!Jamaa anapenda pilau huyo.
Kasikia kwa msuya kuna pilau mbio mbio kakimbilia.
Arusha kuna misiba wala hajatia unyayo wake
jmni sijui mtu atafanya lipi jema! akidelegate power shida,kweli mkubwa jalala!Jmani tumsamehe huyu kiongozi wetu kwa kuwa alishapoteza mwelekeo siku nyingi!!
wapare bwana! Hapo kwenye picha hamna mtoto! Wote watuwazima hapo.
jmni sijui mtu atafanya lipi jema! akidelegate power shida,kweli mkubwa jalala!
jamaa anapenda pilau huyo.
Kasikia kwa msuya kuna pilau mbio mbio kakimbilia.
Arusha kuna misiba wala hajatia unyayo wake
Jmani tumsamehe huyu kiongozi wetu kwa kuwa alishapoteza mwelekeo siku nyingi!!
si alijifunza madrasa jinzi ya kuukunja ubwabwa,hana lolote huyo kujichekesha kama,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,hivi ingekuwa raisi wa nchi nyingine angefanya kipi kwanza kushugulikia matatizo ama pilau,,
Saaizi anataptapa tu na kaamua kulipa fadhiri kwa waislamu wake..............jk feki
wewe dampo, inatakiwa umwambie ndugu yako ajue kuyapa kipaumbele mambo mambo mhimu.jmni sijui mtu atafanya lipi jema! akidelegate power shida,kweli mkubwa jalala!