JK amefanya jambo jema kumcheza mwanae, hii ni heshima kwake na kuwa mfano kwa wengine. Penda chako, jenga chako.
Kwa upande wa gharama za sherehe wala sio issue, JK ni mtu wa watu, Mama Salma pia ni mtu wa watu, natumaini Mashosti 10 tuu wa Mama Salma wangeweza kuwakesesha Bagamoyo siku 7. Kwa wajuao mambo ya ngoma, shughuli ni usiku mchana ni wanandugu tuu,
Ulinzi pia sio issue, hata kama wewe una kajisherehe chako nyumbani, toa taarifa kituo cha polisi, utapatiwa ulinzi. Hata ukitaka Traffic wa pikipiki aongoze msafara wako wa harusi, na yale mabenzi meusi 100 ya State Excecutive cars, unapewa.
JK mwenyewe alitia timu siku ya kilele tuu. Jamaa ana ulinzi wake siku zote popote. Hata kama akienda tembelea mabesti wake kama RA, anakwenda na kikosi chake.
Na mwisho, hata JK has the right to privacy. That was not a State Banquet but a private function, kutaka kujua gharama na nani kalipa is none of our bussiness.
Any body paid by taxpayers money, the public has the right to know their public and private conduct. Kuchezwa ngoma ni shughuli ya kinamama. Salma kamwalika Jakaya siku ya kilele, hivi nayo inakuwa nongwa?. Where is his right to privacy?.