JK amerudi porini Arusha kuna nini?

JK amerudi porini Arusha kuna nini?

Kiranja

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2007
Posts
751
Reaction score
336
Jamani nauliza, JK amerudi tena porini Arusha kuendelea na likizo, kuna nini? au ndio anapika mabadiliko? anayatoa lini? au ndi kuponda raha?
 
kama anapondea Home TZ hakuna MATATA....unless kiranja unataka ujue mambo ambayo si yako....Kama mabadiliko yapo just cool yanini ku-speculate?
 
Hivi bado mnamfatilia Muungwana,Mie nilishaacha.cha kufanya ni kupanga mikakati ya kuhakisha 2010 hapewi tena awamu nyingine,Mambo kama Kenya tu..
 
Back
Top Bottom