K Kiranja JF-Expert Member Joined May 19, 2007 Posts 751 Reaction score 336 Jan 2, 2008 #1 Jamani nauliza, JK amerudi tena porini Arusha kuendelea na likizo, kuna nini? au ndio anapika mabadiliko? anayatoa lini? au ndi kuponda raha?
Jamani nauliza, JK amerudi tena porini Arusha kuendelea na likizo, kuna nini? au ndio anapika mabadiliko? anayatoa lini? au ndi kuponda raha?
C Chuma JF-Expert Member Joined Dec 25, 2006 Posts 1,324 Reaction score 43 Jan 2, 2008 #2 kama anapondea Home TZ hakuna MATATA....unless kiranja unataka ujue mambo ambayo si yako....Kama mabadiliko yapo just cool yanini ku-speculate?
kama anapondea Home TZ hakuna MATATA....unless kiranja unataka ujue mambo ambayo si yako....Kama mabadiliko yapo just cool yanini ku-speculate?
Gembe JF-Expert Member Joined Sep 25, 2007 Posts 2,483 Reaction score 164 Jan 2, 2008 #3 Hivi bado mnamfatilia Muungwana,Mie nilishaacha.cha kufanya ni kupanga mikakati ya kuhakisha 2010 hapewi tena awamu nyingine,Mambo kama Kenya tu..
Hivi bado mnamfatilia Muungwana,Mie nilishaacha.cha kufanya ni kupanga mikakati ya kuhakisha 2010 hapewi tena awamu nyingine,Mambo kama Kenya tu..