Inawezekana!
Duh!!!! kwa staili hii kazi ipo kwelikweli!!!!!!!!!!!View attachment 14211
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Jakaya Kikwete ,akiwa ameketi chini ardhini kwenye vumbi na nyasi ili kumsikiliza Mama Sara Mageni mkazi wa Wilaya ya Makete, wakati mgombea huyo alipowasili kuhutubia mkutano wa kampeni. Sara alikuwa akitoa shukrani zake kwa Rais
source: Mwananchi
Zile zile ahadi za mlaji alizosema Dr/ Prof (Not sure) Rwaitama. This gives me the impression that the guy JK is the mediocre, what he pledges can not defend using the manifesto of his party, Does CCM manifesto talk about 400 bajaj to be given to preginant women, does it tailk about small Dubai in Kigoma? Does it talk about meli kubwa to BK . This is not the time to be led by the mediocre, we need a superb kind of leadership.
Huo mkono kwenye paja la muungwana hautasababisha mzozo wa kifamilia?View attachment 14211
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Jakaya Kikwete ,akiwa ameketi chini ardhini kwenye vumbi na nyasi ili kumsikiliza Mama Sara Mageni mkazi wa Wilaya ya Makete, wakati mgombea huyo alipowasili kuhutubia mkutano wa kampeni. Sara alikuwa akitoa shukrani zake kwa Rais
source: Mwananchi
mie nadhani ule mzuka wa kudondoka ulikuwa unamuingia akayeyusha kukaa chini. I can see hapo alikuwa anasema "aisee". Jk aweza fanya lolote manake usanii anaujua kisawasawa. But haipendizi, it is just too acting, ili watu waseme mtu wa watu? Lol
Naam wewe WANENA vyema:smile-big:, is this Jk au KJ?
safi raisi wetu kikwete,mungu akusaidie ukipata urais utimize ahadi zako watendaji wako wasikuangushe kama walivyokuangusha miaka tano unayoimaliza.
zile zile ahadi za mlaji alizosema dr/ prof (not sure) rwaitama. This gives me the impression that the guy jk is the mediocre, what he pledges can not defend using the manifesto of his party, does ccm manifesto talk about 400 bajaj to be given to preginant women, does it tailk about small dubai in kigoma? Does it talk about meli kubwa to bk . This is not the time to be led by the mediocre, we need a superb kind of leadership.
View attachment 14211
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Jakaya Kikwete ,akiwa ameketi chini ardhini kwenye vumbi na nyasi ili kumsikiliza Mama Sara Mageni mkazi wa Wilaya ya Makete, wakati mgombea huyo alipowasili kuhutubia mkutano wa kampeni. Sara alikuwa akitoa shukrani zake kwa Rais
source: Mwananchi
Too late jamani, sasa tufanye kweli, kama ni kweli tunapiga kura kuonyesha slaa yuko juu hata kwa vitendo, tufanye kweli. Nashukuru sana kwa sababu ameleta ushindani mzuri ili watu wajue ufeki wa tawala.
Unajua unan'changanyi sana..sikuelewi..mara unaonesha mzigo mkubwa wa kuwapamper wabunge, halafu unatuambia tuchague CCM..(!?)Kwa heri JK