Elections 2010 JK asema siri ya ajira nchini ni WAWEKEZAJI anaowafuata nje ya nchi!

Elections 2010 JK asema siri ya ajira nchini ni WAWEKEZAJI anaowafuata nje ya nchi!

payuka

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2010
Posts
829
Reaction score
127
JK kweli anajua kula na vipofu, na amedhihirisha hilo kwenye Q&A session ya jana ( Huku wakiuita ni mdahalo).

Anasema siri ya ajira nchi hii ni Kuleta wawekezaji? Cha ajabu ukitembelea website ya Twaweza NGO inaonesha msamaha wa kodi kwa hawa wawekezaji uchwara imefikia TSh. 724 billion.

My take:

Ukifanya cost-benefit analysis Wawekezaji hawana msaada wowote licha ya hivo viajira vidogovidogo wanavyotoa!
 
Naogopa kutoa methali hapa ntaambiwa nimetukana, ila sijui kama ni tusi kutumia neno juha kama yeye alivyosema pale mwembe yanga, so....
 
Back
Top Bottom