JK asifiwa kuhusu OBAMA


Hapa sasa tuko kwenye ukurasa sawa. Kweli sisi hatujui lugha.
Kuhusu mfumo wetu, ni kweli hauzingatii uwezo na uzoefu wa mtu. Mimi toka mwanzo sikudhani na hadi sasa sidhani kama Kiwete anafaa kuwa raisi wetu. Sidhani kama ana uwezo tosha wa kushikilia ofisi ile.
 

Hivi wee joka kuu usichoelewa hapo nini? au tupe alternative ulitaka Rais asemaje,usituchekeshe hapa.Ngoja basi tukutafsirie labda, well, our excitement is that President Bush is at the end of his term, and the U.S. is going to get a new President, whoever that one is.Furaha yetu ni kwamba Rais Bush yupo mwishoni mwa awamu yake ya uongozi na marekani inatajia kupata Rais mpya,yeyote awaye....lamsingi awe rafiki wa afrika kama alivyokuwa bush. Whats wrong with that.

Nyie mlitaka tuchukie Bush kuondoka madarakani?tunafurahi ndio kwani kapitia mikikimikiki mingi ngoja akapumzike salama,tabu iko wapi hapo?Ndio maana nimewaambia wenzetu wanaozungumza language similar to english huko west africa wakikosea aah hatuwacheki wala hatusemi wamekosea,wazungu wakiboronga kiswahili wala hatuwacheki tena tunawasaidia kweli,sisi mbongo aboronge,wee hata kama ana phd ataambiwa hajui lolote.Wakati huhuo wenzetu wakisema goodmorningi....thats ok,sisi mbongo akisema guudumorning weee ataandikwa huyo,utazani kaua mtu
 

Yes, maybe he used the word the wrong way. But I will still give him a pass for mis-speaking. People mis-speak all the time. And...it is much easier to mis-speak when speaking in a foreign language. Or it could be that he has the proclivity to mis-speak.....I see no big deal at all.
 

Augustoon,

Hiyo ni sawa mgeni kaja kwako halafu anaondoka unasema "nafurahi sana unaondoka" badala ya "it is so sad to see you go". Inaweza kuchukuliwa kama unasema "good riddance" au "I couldnt stand you and I am so happy to see you go"
 
Mimi hata siku moja sijawahi kuchekwa na mzungu kwa kuchapia kiingereza. Ila nimeshachekwa sana na wabongo wenzangu. Laiti mngejua kiingereza ni lugha yangu ya ngapi....
 

Nakwambia watu wanataka tuvune ambacho hatukupanda,wakati wa uchaguzi watu wanashangilia mambo ya kijinga wanawaacha watu wa maana halafu wanataka Rais kipanga.Unataka Rais kipanga pigia kura mgombea kipanga, ukichagua mtu kilaza usitupigie kelele sisi baadaye atakapokuwa anabwabwaja!
 
Pundit
hahaha yaani unanivunja mbavu sana huku,japo hoja yako ni ya muhimu sana.Najaribu kunyoosha maelezo ya Rais japokuwa bado unamlima kwenye content no comment kwenye lugha nina comment.Labda sasa unyamaze.
 

No big deal, except the speaker is a president and is speaking in the midst of concluding a $ 698 m deal.

Hapa sasa kama ndiyo mambo ya closed room preliminary deals Paris Clud watu wanaitana, msaada unasitishwa.The president is not an avid supporter of the Bush Administration.One grammatical mistake could cost a country $ 700 m !
 
Mimi hata siku moja sijawahi kuchekwa na mzungu kwa kuchapia kiingereza. Ila nimeshachekwa sana na wabongo wenzangu. Laiti mngejua kiingereza ni lugha yangu ya ngapi....

Sawa kabisa Nyani Ngabu.
Lakini jamani pia tusilaumiane sana huu mtindo wa mtu aliyepata d form four kwenye english au form six ndio ndio unampeleka kuwa mwalimu wa kiingereza au hesabu unategemea product yake itakuwaje?it has something to do also with our systems of education.Huku juu vyuo vikuu nk hatujifunzi luha tunapolish tu kile tunachokijua kwa Kuadd 15% msingi ujengwe toka chini.
 

Hivi Pundit
Ile hotuba aliyokuwa akisoma uliisikiliza fesh mbona haina comment au ni kwa sababu kina salva ndo waliiandaa.naona comment nyingi zipo kwenye direct speech aliyoitoa mdomoni mwake mwenyewe.vipi hapo masaaada kwenye tuta?
 
Mimi hata siku moja sijawahi kuchekwa na mzungu kwa kuchapia kiingereza. Ila nimeshachekwa sana na wabongo wenzangu. Laiti mngejua kiingereza ni lugha yangu ya ngapi....

Nyani wewe si rais wa Tanzania kwa hiyo tutakupetesha.Ukigombea urais maana yake ni kuwa unawaambia watu kwamba una uwezo wa kuwaongoza nyumbani na kuwawakilisha kimataifa.Sasa kama hujui Kiingereza na huna humility/ sense ya kutumia mkalimani na unachemsha kiasi hiki unategemea tufumbie macho mapungufu hayo?

Kuachia vitu vidogo kama hivi ndiyo kunaleta matatizo makubwa.

Tatizo siyo kuwa Kikwete hajui Kiingereza tu, bali pia hakulijua hilo na hakuchagua kutumia mkalimani.Mbona AU kaongea Kiswahili na wasiojua wametafsiriwa? Ina maana yuko self conscious kuhusu kuongea Kiswahili?
 

Yeah but Presidents are human, too. They are not a different species....therefore you can't demand perfection from them.
 
Hivi Pundit
Ile hotuba aliyokuwa akisoma uliisikiliza fesh mbona haina comment au ni kwa sababu kina salva ndo waliiandaa.naona comment nyingi zipo kwenye direct speech aliyoitoa mdomoni mwake mwenyewe.vipi hapo masaaada kwenye tuta?

Kiwete anahitaji handlers, watu wawe na kid gloves kila saa wanamsaidia. Alivyoingia MOFA kina Dim walifanya kazi ya ziada, na hata baada ya yote hayo matokeo yake ndiyo aibu kama hii.
 
Yeah but Presidents are human, too. They are not a different species....therefore you can't demand perfection from them.

Being able to speak good English is hardly perfection. We are setting our bars too low ourselves by voting in such goons and then we have the audacity to demand top quality leadership, how realistic is that?
 

Anyways, some things come with the territory...and unfortunately in these utandawazi days nothing is sparred. Bush could have had a piece of dried nasal mucus hanging in his nostril and that faux pas would've been the dominant theme of his trip....ignoring all the other important things of his trip.
 
Being able to speak good English is hardly perfection. We are setting our bars too low ourselves by voting in such goons and then we have the audacity to demand top quality leadership, how realistic is that?

What does top quality leadership have to do with the ability to speak fluent english?
 
Hiyo ya lugha sio nzito sana kwani Bush mwenyewe bado ana struggle kutamka neno neuclear
 
Nimesoma posts hizi kwa mshangao mkubwa na nyingi zimeniudhi. Kasumba yako Pundit ni mbaya sana kama kweli wewe ni mswhili! Mengi yamesemwa na Nyani Ngabu na wengine, kwa kifupi si mzalendo na mateka wa kizungu.
Kitila ndugu yangu unamwona rais kilaza sana! Nakufahamu vizuri uwezo wako, sioni huo ukipanga unaoutaka kwa JK kma wewe unao. Hao unaosema ni vipanga wangechaguliwa kuwa rais, wanayo mapungufu mengine mengi pia, yaliyowafanya watu kutokuwachagua. Sijui ni akili kiasi gani ungetaka rais wako awe nazo, lakini naona mifano uliyotoa ni wenye PhD kama akina Lipumba, Mwandosya, Salim nk. Kumbuka uwezo wa mtu si mi PhD kama ambavyo unaamini kwani nawe unachohangikia hicho kwa kuunga unga ambapo siuoni u-brightnees wako hata kidogo. Si muda utataka ugombee urais kwani unayo PhD. Tafdhali acha kumlaumu tu saidai kama unaweza...usiwabeze zaidi ya 80% ya watz(waliojiandikisha) waliopiga kura kumchagua huyu mtu.
 
Nadhani itakuwa ni jambo la busara kama tuta- attack issue instead of attacking the Messenger !
 

I don't mind that error, sir, because you are not my president!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…