GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 309
Dont and never involve God in this!:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
Kama siyo mapenzi ya watanzania wengi hatadumu.It's only a matter of time let's leave everything to GOD.Tumefunga,tumeomba tunamwachia Mungu.Kama Mungu hakutaki yeye ana uwezo mkubwa na njia nyingi sana ikiwemo kifo.
Huyu hapa chini ndie Rais wako...
Kama siyo mapenzi ya watanzania wengi hatadumu.It's only a matter of time let's leave everything to GOD.Tumefunga,tumeomba tunamwachia Mungu.Kama Mungu hakutaki yeye ana uwezo mkubwa na njia nyingi sana ikiwemo kifo.
huyu hapa chini ndie rais wako...
Ndivyo maandiko yanavyo sema, Chaguo la wengi ni chaguo la Mungu, sasa hutaki nini ? kama unaumia polee, ndio hali halisi !
Na hizi ni kura zake shame on him
Haya ni matokeo yaliyotangazwa na NEC
.................................MZIRAY KIKWETE SLAA....... LIPUMBA... RUNGWE MGAYWA DOVUTWA SPOILT..... Total
GEITA................ 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037
NYANG'HWALE. 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037
PRESIDENT MWIZI....!!!!!!!!!!!
shetwani awe nawe...!
Na hizi ni kura zake shame on him
Haya ni matokeo yaliyotangazwa na NEC
.................................MZIRAY KIKWETE SLAA....... LIPUMBA... RUNGWE MGAYWA DOVUTWA SPOILT..... Total
GEITA................ 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037
NYANG'HWALE. 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037
Huyu ni rais wako wewe na sio unataka kuwaingiza na wengine! mimi sitawaliwi na binadamu aliyeshindwa hata kujitawala mwenyewe!
😛uke:
rais anae iba haki za watu: Mwizi:hana heshima.
What kind of misspelings is these? Does he know how to type and how can declare that?
____________________________________________________________________________
Nemo iudex in causa sua