Elections 2010 JK auza nchi kwa magaidi?

''''Katika mitambo yetu tumenasa mazungumzo ya ndani ya shirika hilo la ujasusi na inavyoonekana lengo kubwa siyo Uranium peke yake bali ni kufanya undumilakuwili(double crossing) kwa kusaidia JK halafu mlango wa nyuma maadui zake ili kuliingiza taifa hili kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe. Inasemekana kuwa nchi hiyo imefanya ujasusi wa kutosha wa kiuchumi na kugundua kuwa nchi yao itafaidika sana kama Tanzania ikiwa vitani kuliko hali ikiwa ya amani. Wanahitaji Uranium lakini baadaye wanataka waipate kwa njia za panya, halafu wauze silaha na mengineyo'''.
guuuuud....
mnajiandaa kuleta vurugu na uvunjifu wa amani ili mje msingizie mashirika ya kijasusi????
kwa kipindi tulicho nacho, habari shallow kama yako haiwezi kutisha watu hata kidogo,na isitoshe, wengi wenu hamna taaluma ya uaskari na mnafikiri jeshini kuna unafiki na uzandiki kama kwenye siasa na uswazi kwenu!!! unajaribu kuligawa jeshi letu kwa kusema kuna JWTZ B??
JESHI letu linasifika kwa nidhamu na kujituma kwa mujibu wa sheria hivyo jipe moyo kuwa watawaunga mkono katika upumbavu mnaotarajia kuufanya,,
najua kuwa mnajua kuwa ushindi haupo hata mkandamana uchi. na ukweli unajulikana kwamba hata mkileta vurugu na jeshi likaamua kukaa pembeni, mko wachache kiasi kwamba hatutahitaji nguvu kuuuubwa kusafisha virus kutoka kwenye nchi yetu, wewe na wenzako jidanganyeni na umati mnaouona kwenye mikutano ya kibaraka wa MBOWE(SLAA) MDHANI KUWA WOTE NI WAFUASI WA chadema. mtashangazwa na matokeo ya kura na hapo ndipo mtakapojua kuwa nguvu ya umma ipo pande ipi
 
tuwekee mawasiliano mliyoyanasa juu kwa juu kama unavyodai,la sivyo wewe hautakuwa tofauti na shimbo kutisha wapiga kura.
 
Mtoa hoja tusaidie kwa kuwa muwazi zaidi, ninaona kama unazungumzia USA na kama ndivyo basi useme hivyo na kama kweli ripoti hii ipo basi ing'aze hapa CIA wataipata tu na wataifanyia kazi.
 
Mungu ijaalie Tanzania amani, utulivu, haki, maendeleo mazuri, afya njema kwa watu, upendano na heshima kwa sheria. iepushe na majanga na chuki baina ya watu wake. Amin
send that one to dr WILBOD SLAA
 
[

Ripoti pia inaonyesha kuwa wanamtandao wa 2005 tayari wanaendesha kwa siri kubwa mchakato wa kijasusi utakaomfanya JK apate 'suprise' kwa kujikuta ameshindwa kabisa kiti cha urais japo mikakati yote ya kuchakachua matokeo imeonekana kufanikiwa. Hili ni kundi lililokuwa nyuma ya uanzishwaji wa CCJ kwa usiri na kwa kujificha.

Ripoti imemtaja EL ambaye majuzi alisifiwa na JK na kutambulishwa kwa wapiga kura huko kaskazini mwa Tanzania kuwa ni mmoja kati ya viongozi wa mkakati huu na ambaye tayari amejiandaa kuhakikisha hata jimboni kwake tu ni yeye peke yake anayepita kwa kushinda kiti cha ubunge lakini JK katu hapiti.

Hapo kwenye red baba ,umechapia.
Katika watu wote watakao taka JK asirejee madarakani, Lowasaa hawezi kuwa mmoja wao. Lowasa needs JK now ,More than Ever!
 

akashube na Ndege ya Uchumi,
Mimi pia hivi juzi tu nilipata wasaa wa kukutana na "Kijana" mida ya Happy Hawaz maeneo karibu na Jengo Jipya la Ubia kati ya Jk, Rostam na Karamagi. Alinithibitishia suala hili pamoja na lile la pesa (3 Billion) iliyokuwa mbioni KUONGEZWA na Ikulu kusaidia Kampeni jk na ikanusuriwa na mkwara wa Dr. Slaa. Ni kweli kuwa JK alipewa taarifa za mwenendo wa kampeni na upepo wa matokeo yanayobashiriwa kwa ujumla. Na hazikuwa nzuri hata kidogo kwa JK. Inawezekana alipandikizwa woga maksudi ili Majasusi wapate nafasi ya kuonyesha umuhimu wa kazi yao. Na kwa mujibu wa "Kijana" Wanazidi kufanikiwa katika lengo lao. Jk anazidi kuona kwamba wao ndiyo wanashikiria mustakabali wa matokeo ya Urais.

SHIME WAZALENDO TUSIPUUZE TAARIFA YA akashube
 

Wewe kweli nyani! Teh teh teh!
 
No comment.

Only thing I am sure of is that Jeshini kuna noma.
 
Kwa Tanzania hii sitarajii marekani wakitaka Uranium wana haja ya kuanzisha vita... Ninachoweza kurikiri ni kuwa watafanya kila linalowezekana kuhakikisha JK anabaki madarakani, akiwa na upinzani haba bungeni, ili waendelee kuingia mikataba feki za kuzipata hizo raslimali...
 
mkuu una uhakika na hii habari,mbona haieleweki? mmmmh
 
tangu ilipoanzishwa hii thread jana niliikwepa kuchangia kwa kuwa nilijipa muda wa kutafakari yaliyomo.
Kwa kweli nimestuka na hii ishu.

Nimekuwa nawasoma wamarekani na tricks zao tangu nikiwa mtoto na ninaamini kwamba mtoa taarifa hajazuka hewani au ametunga tu. Tukubali kwamba USALAMA wa nchi upo kwenye hali tete sasa na ni sisi wananchi tunaopaswa kujiweka dhamana kwa amani yetu nchini. tusithubutu kuruhusu mtu kumtoa jicho jirani yake wala jamii dhidi ya jamii. Cha msingi ni kukaaa chini, na kutafakari how to dodge hii trap at this very short period. Naamini inawezekana hata in last minute inawezekana.

Natamani ningekuwa UwT walah hawa vidudu mtu kutoka nje wangelijuta kuzaliwa. Naamini tuna mfumo mzuri wa ulinzi lakini viongozi wanauingilia kwa manufaa yao binafsi.

Dawa ni kutoipatia ccm kura na tuone huo moto wao wa kiranga cha uranium utawashwa vipi. Kwanza napinga uuzwaji wa uranium nje maana sisi tunaihitaji sana kwa ajili ya nishati na shughuli nyingine za maendeleo.
Msilale amkeni ninyi wakulima wa tz
 
Hata kama habari yenyewe haiaminiki, Jamani watanzania wenzangu, turudi kwenye nyumba za ibada, kuiombea nchi yetu! Maana vinywa vyetu huumba!
 
du watu mna data!...........kumbe tunaweza kuwa na akina DR.SLAA wengi tu km tukiamua..........
 
Japo sijui mambo ya kiintelijensia lakini unaweza kujua kwamba wamerekani kuna kitu wanataka kwenye nchi yetu baada ya kuona upepo wa kisiasa unamwendea Dr. Slaa kumekuwepo na mikataba mikubwa mikubwa ya misaada iliyosainiwa mwezi wa tisa kutoka kwa wamerekani na waingereza,umoja wa nchi za ulya na makampuni yao,ukiangalia kwa wepesi huwezi kujua maana yake nini lakini ukweli wanataka kuuuthibitishia umma kwamba nchi hizo tajiri na zenye sauti kuu duniani wanaimani na utawala wa kikwete kwa mantiki hiyo tutapenda kumpigia kura kwa sababu tutaamini fedha za misaada zitaleta maeendeleo,vile vile wanalinda uhai wa makampuni yao makubwa kumbuka uingereza ni nchi ya kwanza ikifuatiwa na kenya kwa kuwekeza Tanzania
Nadhani wananchi tumeamka sasa,marekani hawajawahi kushinda vita mahali popote duniani wanachukiwa sana na hadhi yao imeshuka kwa ajili ya uvunjifu wa amani katika nchi wanazolazimisha kujipenyeza nadhani elimu ya uraia iongezwe ili tuweze kukomboa nchi yetu ,kama makampuni wamempa ndege KIkwete unategemea nchi zao zitakaa pembeni thubutu.
 
Unajua katika mambo ya utawala grapevine pia ni source ya taarifa.
Na wataalamu huwa wanashauri kuwa hautakiwi kudharau grapevine inaweza kukutokea puani
 
Hizi ni taarifa muhimu mno kwa usalama wa nchi.
hatua zichukuliwe
 
MKuu, nakubaliana na wewe na ndo maana nimeitilia mashaka habari hii. Pia tukumbuke kuwa rais wa sasa ni mwislamu na ameonekana ni mdini na amekuwa akigawa ardhi na rasilimali kwa waarabu. Sasa hapo anaweza vipi kuwa 'ally' wao? Hiyo uranium nayo nasikia inashikiwa na RA kupitia Caspian, kwa hiyo probability kubwa ni kuwa waarabu ndo watakuwa na interest na rais huyu kuliko wamarekani.
NImejaribu kutumia logic lakini sipati jibu na siko tayari to go out on a limb on this maana mpaka sasa sijaona evidence yoyote.
Kusafiri sana kwa JK Marekani ni kutokana na business interest ya baadhi ya wawekezaji hapa lakini siyo official US government. Kitu pekee ninachoweza kulink hapa ni akina Tudor Jones na wenzake, na kama ni CIA hawa siyo official inaweza ikawa ni wale 'consultants' lakini hebu tusubiri tuone....
 

If we don't understand the rule of the game, we can simply be reduced to a pure guessing group while the conspiracy goes on without any objection.

Every one of us should be aware that, most of us are just common people and good citizens, there is little we can do in this game.

Pengine mtu anaweza kudhani nguvu yetu ipo kwenye mchezo wa ballot box, lakini ukweli ni kuwa hata huko hatuna nguvu sana kama Farao akigoma kusikia la Musa. Ndio maana nikapendekeza UWT watumie uzalendo kwa nchi yao kwa niaba yetu… (ipo mifano ya uzalendo k.v. Kombe). Hawa wanaweza, wakitaka, wanao uwezo wa kutusaidia.

Bila hivyo tunaendelea kubaki tunalalamika, kutoa mabunio yetu na kujaza mabandiko ya nadharia na kejeli za kila aina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…