Jk,bongo movie wangeweza kuokoa maisha ya SAJUKI

Jk,bongo movie wangeweza kuokoa maisha ya SAJUKI

tenanzinyo

Member
Joined
Dec 28, 2012
Posts
64
Reaction score
23
Kwanza niwape pole sana watanzania wezangu wepenzi wa tasnia ya filamu nchini kumpoteza msanii wa nguli wa filamu Juma Kilowoko almaarufu kama SAJUKI!japokuwa kifo ni kazi ya mungu lkn hata binadam wanaweza kusabibisha kwa namna moja au nyingine kwa mfano kwa kumpa sumu,kumpiga kumgonga na gari nk.Na pia si utamaduni mzuri kutupiana lawama baada ya kutokea kifo cha mpendwa au wapendwa wetu!Kuna habari zisizo rasmi zinazosema bongo moves waliharibu tamasha la marehemu aliloandaa huko Arusha kwaajili ya kukusanya fedha za mtatibabu yake nchini India!naasikia baada ya kupata taarifa hz ndipo alipopata mshtuko na kuanguka chini na kuzidiwa mpk kupelekwa dsm!Lkn pia bongo moves haohao walishindwa kushughulikia kwa haraka kupeleka barua ikulu ili wapatiwe msaada wa kumpeleka sajuki nchini India!kwa kuwa Jk alishakubali kugharamia
matibabu ya sajuki ila ilihitajika tu barua kwenda ikulu.lkn swali la kujiuliza hapa kwa nini Ikulu walihitaji barua wakati hali ya mgonjwa ilashaanza kuwa mbaya au ndo itifaki lzm izingatiwe?Pengine Sajuki angewahishwa kupelekwa India labda kifo chake kisingeweza kutokea. Najua tutayasikia mengi sana baada ya kifo cha msanii huyu lkn yote kwa yote ni kwamba Sajuki ametutangulia mbele za haki ila kifo chake kiwe ni funzo kubwa kwa wasanii wa tanzania,najua saivi watakuwa bize madukani kutafuta suti,miwani nyeusi,madira ya gharama kubwa kwa ajili ya kwenda kuuzia sura kwenye msiba na wengine watakuwa wapo saloon wakifanya scrabing na make up ili watokelezee kwe maTV!MWISHO NITOE POLE ZA DHATI KBS KWA MKE WA MAREHEMU SAJUKI WASTARA KWA KUPIGANIA MAISHA YA MUMEWE MPK DAKIKA YA MWISHO BILA KUCHOKA TENA KWA UJASIRI MKUBWA!MWENYEMUNGU AMJALIE MOYO WA SUBIRA NA AMPE NGUVU KTK KIPINDI HIKI KIGUMU ANACHOPITIA KTK MAISHA YAKE!Mwenyezimungu ailaze roho ya marehemu SAJUKI mahali pema peponi AMEN
 
Kwanza niwape pole sana watanzania wezangu wepenzi wa tasnia ya filamu nchini kumpoteza msanii wa nguli wa filamu Juma Kilowoko almaarufu kama SAJUKI!japokuwa kifo ni kazi ya mungu lkn hata binadam wanaweza kusabibisha kwa namna moja au nyingine kwa mfano kwa kumpa sumu,kumpiga kumgonga na gari nk.Na pia si utamaduni mzuri kutupiana lawama baada ya kutokea kifo cha mpendwa au wapendwa wetu!Kuna habari zisizo rasmi zinazosema bongo moves waliharibu tamasha la marehemu aliloandaa huko Arusha kwaajili ya kukusanya fedha za mtatibabu yake nchini India!naasikia baada ya kupata taarifa hz ndipo alipopata mshtuko na kuanguka chini na kuzidiwa mpk kupelekwa dsm!Lkn pia bongo moves haohao walishindwa kushughulikia kwa haraka kupeleka barua ikulu ili wapatiwe msaada wa kumpeleka sajuki nchini India!kwa kuwa Jk alishakubali kugharamia
matibabu ya sajuki ila ilihitajika tu barua kwenda ikulu.lkn swali la kujiuliza hapa kwa nini Ikulu walihitaji barua wakati hali ya mgonjwa ilashaanza kuwa mbaya au ndo itifaki lzm izingatiwe? Najua tutayasikia mengi sana baada ya kifo cha msanii huyu lkn yote kwa yote ni kwamba Sajuki ametutangulia mbele za haki ila kifo chake kiwe ni funzo kubwa kwa wasanii wa tanzania,najua saivi watakuwa bize madukani kutafuta suti,miwani nyeusi,madira ya gharama kubwa kwa ajili ya kwenda kuuzia sura kwenye msiba na wengine watakuwa wapo saloon wakifanya scrabing na make up ili watokelezee kwe maTV!MWISHO NITOE POLE ZA DHATI KBS KWA MKE WA MAREHEMU SAJUKI WASTARA KWA KUPIGANIA MAISHA YA MUMEWE MPK DAKIKA YA MWISHO BILA KUCHOKA TENA KWA UJASIRI MKUBWA!MWENYEMUNGU AMJALIE MOYO WA SUBIRA NA AMPE NGUVU KTK KIPINDI HIKI KIGUMU ANACHOPITIA KTK MAISHA YAKE!Mwenyezimungu ailaze roho ya marehemu SAJUKI mahali pema peponi AMEN

Wewe binafsi ulisaidia nini? Kama hukufanya chochote umeshachelewa basi kaa kimya
 
Anayeweza kuokoa maisha ya binadamu ni Mungu pekee.
Huu Si wakati wa kumlaumu mtu.Hata ukilaumu ukweli ni kwamba hatunaye tena Sajuki (RIP).Kuwa mstaarabu.
 
Hivi wewe unamjua Kikwete kweli au unatania?
He is very selective in helping the people.

Was Sajuki a female or male?
Kwani Sajuki alikuwa ni 'Role Model' wa Kikwete?

*Kwa ninavyomjua Kikwete kwa unafiki na kupenda kujipendekeza atatuma salamu za Rambirambi chapchap na huenda akawepo kwenye mazishi.
 
Hivi wewe unamjua Kikwete kweli au unatania?
He is very selective in helping the people.

Was Sajuki a female or male?
Kwani Sajuki alikuwa ni 'Role Model' wa Kikwete?

*Kwa ninavyomjua Kikwete kwa unafiki na kupenda kujipendekeza atatuma salamu za Rambirambi chapchap na huenda akawepo kwenye mazishi.

Vengu ni mwanamke?
 
R.i.p sajuki,ni mara ya mwisho tu nimekuona kwenye kipindi cha mkasi.
 
Vengu ni mwanamke?
Ni mwanaume. So what?
Kumbuka msaada wa Vengu wa matibabu ulianzia na kupitia kwa Waziri mkuu Pinda.

But all in all Ze Comedy ni moja vipindi vinavyomvutia zaidi Kikwete, they are the ''Role models'' to Kikwete.
 
si kazi ya kikwete wala ikulu kusaidia mtu mmoja mmoja na wala si kazi ya kikwete wala ikuli kusaidia bongo movie ikitokea shukuru kwa msaada walioutoa ingekuwa hivyo basi hata mimi kuna ndugu zangu wanaumwa sana ngoja tuwaandikie barua ikulu watusaidie matibabu.
Kwa hiyo ikulu na kikwete wasilaumiwe kwa hili watz acheni habari za kimajungu majungu hii kazi si ya ikulu wala kikwete au kwakuwa ameshiriki mara kadhaa kwenye mambo ya bongo movie sa limegeuzwa kuwa jukumu lake.
Kumbe mkapa was right hakushiriki kwa lolote kwenye haya mambo ya kisanii so hakuna wa kumlaumu.
 
Hivi wewe unamjua Kikwete kweli au unatania?
He is very selective in helping the people.

Was Sajuki a female or male?
Kwani Sajuki alikuwa ni 'Role Model' wa Kikwete?

*Kwa ninavyomjua Kikwete kwa unafiki na kupenda kujipendekeza atatuma salamu za Rambirambi chapchap na huenda akawepo kwenye mazishi.

slaa alimchangia elfu ngapi?
 
Anayeweza kuokoa maisha ya binadamu ni Mungu pekee.
Huu Si wakati wa kumlaumu mtu.Hata ukilaumu ukweli ni kwamba hatunaye tena Sajuki (RIP).Kuwa mstaarabu.
vipi, hujasoma uzi mmoja uko hapa jf ambao mzee mmoja anasema 'jk ni mungu'? Ngoja niutafute nikuwekee
 
innalilah wainnay rajuun(hakika sisi wote ni waja wa mungu na kwake tutarejea). r.i.p. sajuki
 
R.i.p sajuki mpaka wakina masanja wanaomba msaada kumpeleka india raisi ulikuwa wap mbona hukuwasaidia acha unafiki huu syo muda wa kulumbuna yameshatokea tumwombee apumzike kwa amani amina.
 
vipi, hujasoma uzi mmoja uko hapa jf ambao mzee mmoja anasema 'jk ni mungu'? Ngoja niutafute nikuwekee

Mungu wa Bagamoyo?
Mungu mbumbumbu wa anayelilia kuitwa Dr.?
Mungu gani limbukeni anayetaka kutajirika kwa miaka 10 amshinde Bill Gates?
 
Nakubaliana na wewe kuwa mwenye kupanga kifo ni MuNgu pekee!lkn pia binadamu ananafasi ya kupigania maisha yake mpk dk ya mwisho ndiyo maana hospitali zimejengwa kwa sbb hiyo ya kuokoa maisha ya binadamu!lengo la thread hii c kumnyoshea mtu kidole ktk kusabibisha kifo cha SAJUKI ila mwandishi ameangalia mazingira sababu za kifo cha msanii ndo maana amesema pengine km angewahishwa kupelekwa India angeweza kupona na hili lingiweza kufanyika km bongo movies na ikulu wangeweza kutimiza wajibu wao kwa haraka,hiyo yote ni ktk kupigania kifo cha binadamu mwenzetu japokuwa tunajua kifo kipo palepale! Ni mtazamo c lzm tuwe sawa!
 
Mungu ailaze roho ya marehemuu sajuki mahali pema peponi amen
 
Watanzania tuache siasa katika kila jambo, nikijaribu kuiangalia hii ishu from a medical point of view i dont think a condition which killed sajuki was curable hata huko india,nimejaribu kusoma the history ya ugonjwa wake, though honestly ni ngumu kujua ni ugonjwa gani alikuwa anaumwa exactly, but it looks like he had a fatal malignant condition of which kutibika ni impossible kwa stage ile. Am jst thinking out loud,i might be wrong. Sijui madaktari wake walikuwa na diagnosis gani au huko india alifanyiwa operation gani exactly all am saying is siyo kila condition inatibika huko india au us au uk, there are some malignant diseases ambazo zikifika a certani stage there is nothing doctors can do hata iwe ni nchi gani, na as i said kwa haraka haraka sajuki alikuwa na dalili nyingi kama sio zote za a malignant disease at late stages all that could be done was palliative. Si kweli kuwa kila ugonjwa unatibika india,wabongo tubadilishe our mind set. Rest in peace bro.........
 
Back
Top Bottom