nani anakumbuka urafiki wa thomas sankara na campaore huko bukina faso? ilifika mahali usalama w ataifa wakamwabia sankara kuwa vampaore anataka kukupindua yeye akajibu kuwa akitaka hakuna wa kumzuia kwa kuwa walikuwa marafiki sana,baadaye utabiri ulitimia compaore akampindua sankara tena akamuua. urafiki wa sankara na compaore ulikuwa wa bond hasa hasa tena wa kufa na kuzikana, urafiki wa EL na Jk umeanzia huko udsm na kwenye kinywaji chochote cha wezekana, kwenye siasa hakuna rafiki au adui wa kudumu. kuna tetesi kuwa EL hakushirikishwa hata kwenye mabadiliko ya kwanza kwenye baraza la mawaziri yale yaliyomngoa mshabaha pale energy ministry, kuna mtu wa ukakika anasema uhasama ukuaaanzia hapo, inasemekana EL alikuwamaafia akitanua, si unamjua? mengi yatasikika subirini