JK hakwepi lawama kwa jinsi CCM ilivyogeuka kikundi cha watu wachache badala ya kuwa chama cha mamilioni ya wanachama

JK hakwepi lawama kwa jinsi CCM ilivyogeuka kikundi cha watu wachache badala ya kuwa chama cha mamilioni ya wanachama

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Naam, hili wala halina ubishi. Katika watu ambao hawawezi kukwepa lawama katika kuvuruga chama cha Mapinduzi na hatimaye kuiweka nchi katika sintofahamu na kupelekea nchi kukosa muelekeo ni huyu JK.

1. BIFU LAKE BINAFSI NA EL LILIVURUGA CCM.

Kila mtu anakumbuka jinsi EL alivyokatwa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi mgombea urais ndani ya chama mwaka 2015. EL alikatwa kihuni, yote hii ni kumfanyia mtima nyongo asiwe mgombea urais kupitia chama hicho. Kila mtu anakumbuka jinsi watu walivyomlalamikia kwa JK kuja na majina ya wagombea mfukoni, kiufupi kuna mambo yasiyo sahihi yalifanyika kwenye kupata wagombea. Tatizo ni kwamba, kila uhuni mmoja unapofanyika, unatengeneza precedence ya uhni mwingine kufanyika mbeleni. Yanayotokea CCM hii leo ya kupitisha wagombea urais wa JMT na ZNZB bila wagombea kujaza fomu ya kuomba kugombea, na bila kupata wadhamini kutoka mikoani, na bila kujadiliwa kwenye vikao vya kamati kuu ni kilele cha matunda ya kutoheshimu haki na kanuni za chama kwenye kupata wagombea na JK hawezi kukwepa lawama kuifikisha CCM hapa.

2. JK ANA UHUSIANO NA SIRI GANI NA SSH HADI KUIFIKISHA CCM HAPA?

Aliyewahi kuwa rais wa JMT hayati JPM aliwahi kusema kuwa SSH hakuwa chaguo lake mwaka 2015, bali chaguo lake lilikuwa ni HM. Akanena kuwa huyu SSH lilikuwa ni chaguo la wazee. Bila shaka hapa JK alihusika kumuwekea JPM huyu mama. Je kuna siri gani ya JK na huyu mama?. Huyu mama alikuwa na merit gani mwaka 2015 hadi afanywe kuwa mgombea mwenza?, alikuwa ameifanyia nini CCM na nchi hadi awe mgombea mwenza?. Hii mbeleko ya kisiasa ambayo huyu mama kabebwa nayo, bila kupita katika chujio lolote serious la kisiasa la kumpa nafasi kubwa kulikoni?, ana nini, au usharika gani na JK?.

3. JK KUSHIRIKI KUMTANGAZA MGOMBEA URAISI KABLA HATA HAJACHUKUA FOMU NI AIBU YA KARNE.

Hii ni aibu kubwa sana kwa mtu aliyewahi kuwa rais, mgombea urais mara kadhaa na mwenyekiti wa chama. Unawezaje kukukubali kubariki na kuwa mnadi mkuu wa uhuni uliofanyika hapo DODOMA?. JK hebu akae chini na ajiulize. Hofu ya kukimbiza mchakato wa uteuzi wa wagombea ni nini. Kama HM hapendwi si uwaache wana CCM waweke mtu mwingine kwani shida ni nini?. Kama kuna watu wanataka kumchallenge SSH si uwaache wamchallenge kwani wewe JK una maslahi gani na SSH au HM hadi ushiriki siasa za "Njama", za "nyuma ya pazia", "siasa za gizani". Au kwa sababu SSH ameendeleza kulinda maslahi yake manono na pia akaenda mbele hadi kupitisha sheria ya kumlipa mkewe mahela mengi kama vile mkewe alivyosuggest?. Je analipa fadhila?.

4. CCM KUPOTEZA USHAWISHI KWA UMMA NA KUGEUKA CHAMA CHA POLISI NA USALAMA.

JK anajua, viongozi wa juu wa CCM wanajua kuwa bila polisi na usalama wa Taifa CCM haiwezi kusimama man to man na upinzani nchini ktk chaguzi. Na hii tabia ya kutegemea polisi na usalama ilifumbiwa macho na JK na viongozi wenzie waliotangualia. Kwa kuwa CCM haitegemei ushawishi wa wanachama wala wananchi, bali wanategenea vyombo vya dola viwape kile wanachokitaka kwa wananchi lakini hawawezi kukipata kwa ridhaa zao. Ndiyo maana wanamlinda HM kwa sababu aliingizwa pale ZNZB kibabe. Na hii michezo hii ya kupora haki za wananchi kuchagua imegeuka na kuwa kama aliyezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi. Leo hii wanachama wa CCM hawana thamani kivile mbele ya kundi dogo la wafanya maamuzi ndani ya CCM kwa sababu hilo kundi dogo linajua lina Polisi na Usalama, wataweka mambo sawa!

5. NAMKUMBUSHA JK KUWA MICHEZO YA KISIASA AKILI NYINGI MBELE GIZA.

Mwaka 2015 alimfanyia figisu EL, akaja na wagombea wa mfukoni. Matokeo yake Chuma kikapenya na kuibuka katikati ya hilo zogo. Chuma kikatandika bakora kila mtu humu nchini, na huyo JK mwenyewe kwa mujibu wa kitabu cha Kabendera alikuwa halali usingizi vizuri, maana chuma kilikuwa kinamvutia rada. Sasa hii hali ya kukwepa haki na kuweka mbele maslahi binafsi na kuleta ujanja ujanja kwenye mambo yanayohitaji utaratibu matokeo yake yanaweza kuwa yasiyodhamiriwa. Awe makini anaweza kuwa anataka aendelee kuonekana ni KING MAKER au MAESTRO wa Kisiasa kumbe anakiumiza chama na anaiumiza nchi na kujivunjia heshima.
 
mengi mnambambikizia pia siajabu hana power kiivyo kama mnavyodhania, msisahahu ssh alikuwa mwanachama wa wef davos kabla hawajazinguana, hata P.Mpango (Phd) ni mtu wa wef Davos pia …
 
mengi mnambambikizia pia siajabu hana power kiivyo kama mnavyodhania, msisahahu ssh alikuwa mwanachama wa wef davos kabla hawajazinguana …
Haha hawa hawajui kabisa yanayoendelea.......CCM kwa sasa kuna kundi jipya na limeungana wale wa Lowasa wengine wale wa JPM na wanakimbiza mwizi kimya kimya.........Kikwete watu wake walikua wakina January na Nape na walishaliwa vichwa mapema sema tu jamaa ana heshimika sababu ndo rais mstaafu aliebakia ila hana hio nguvu ya kuamrisha mambo kama anavyotaka,,,japo wengi bado wanaamini hivyo...........kuna mambo yaliyotokea Dodoma kwa mtu anaejua kusoma vizuri upepo ataelewa jamaa sahivi yupo kwenye level ipi kwenye chama
 
Mbona chama chenu Chadomo kimegeuka tawi la TLS kinaongozwa na Maria kupitia club house. CCM ni dude kubwa sana, wajumbe wameamua.
 
Haha hawa hawajui kabisa yanayoendelea.......CCM kwa sasa kuna kundi jipya na limeungana wale wa Lowasa wengine wale wa JPM na wanakimbiza mwizi kimya kimya.........Kikwete watu wake walikua wakina January na Nape na walishaliwa vichwa mapema sema tu jamaa ana heshimika sababu ndo rais mstaafu aliebakia ila hana hio nguvu ya kuamrisha mambo kama anavyotaka,,,japo wengi bado wanaamini hivyo...........kuna mambo yaliyotokea Dodoma kwa mtu anaejua kusoma vizuri upepo ataelewa jamaa sahivi yupo kwenye level ipi kwenye chama
JK hana sababu ya kuwa na kundi. Kimsingi hana anachohitaji tena kwenye siasa hizi. Lakini nashangaa kashiriki kubaliki mambo ya ajabu kabisa yaliyoyokea DODOMA juzi.
 
JK hana sababu ya kuwa na kundi. Kimsingi hana anachohitaji tena kwenye siasa hizi. Lakini nashangaa kashiriki kubaliki mambo ya ajabu kabisa yaliyoyokea DODOMA juzi.
Kundi analo sema limeshapunguzwa makali kwenye chama kwa sasa hana impact yeyote......zile jeuri za wakina January na Nape hadi kujiona wako juu ya rais kuna wazee wao ndo walikua wanawapa kiburi ila tokea wapigwe kibuti wameshaona upepo umebadilika......wengi walikua wana mawazo kwamba alivyoondoka JPM basi zama zao za kutamba zimerudi ,hawakujua kuna watu pia walikua na mipango yao chini kwa chini
 
Kundi analo sema limeshapunguzwa makali kwenye chama kwa sasa hana impact yeyote......zile jeuri za wakina January na Nape hadi kujiona wako juu ya rais kuna wazee wao ndo walikua wanawapa kiburi ila tokea wapigwe kibuti wameshaona upepo umebadilika......wengi walikua wana mawazo kwamba alivyoondoka JPM basi zama zao za kutamba zimerudi ,hawakujua kuna watu pia walikua na mipango yao chini kwa chini

Wewe unadhani hii move ya kuwapitisha wagombea urais kwa mlango wa nyuma JK alikuwa hajui?. Kumbuka wiki chache kabla ya kikao cha DODOMA alikuwa ZNZB na kumsifu sana HM. Wewe unadhani alienda huko kufanya nini kama siyo kuandaa mkakati wa figisu?
 
Wewe unadhani hii move ya kuwapitisha wagombea urais kwa mlango wa nyuma JK alikuwa hajui?. Kumbuka wiki chache kabla ya kikao cha DODOMA alikuwa ZNZB na kumsigu sana HM. Wewe unadhani alienda huko kufanya nini kama siyo kuandaa mkakati wa figisu?
Baadae mtakuja kuelewa upepo unavyoenda,,,,....jamaa anaheshimika ila nguvu ya kua kama mtu wa mwisho kuamua jambo kwenye chama kwa sasa hana ila bado anaheshimika.......na anachofanya bimkubwa kwa sasa makundi yote anayatumia ,,,kikubwa October ipite kukiwa hakuna mgawanyiko huko ndani
 
Naam, hili wala halina ubishi. Katika watu ambao hawawezi kukwepa lawama katika kuvuruga chama cha Mapinduzi na hatimaye kuiweka nchi katika sintofahamu na kupelekea nchi kukosa muelekeo ni huyu JK.

1. BIFU LAKE BINAFSI NA EL LILIVURUGA CCM.

Kila mtu anakumbuka jinsi EL alivyokatwa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi mgombea urais ndani ya chama mwaka 2015. EL alikatwa kihuni, yote hii ni kumfanyia mtima nyongo asiwe mgombea urais kupitia chama hicho. Kila mtu anakumbuka jinsi watu walivyomlalamikia kwa kuja na majina ya wagombea mfukoni, kiufupi kuna mambo yasiyo sahihi yalifanyika kwenye kupata wagombea. Tatizo ni kwamba, kila uhuni mmoja unapofanyika, unatengeneza precedence ya uhni mwingine kufanyika mbeleni. Yanayotokea CCM hii leo ya kupitisha wagombea urais wa JMT na ZNZB bila wagombea kujaza fomu ya kuomba kugombea, na bila kupata wadhamini kutoka mikoani, na bila kujadiliwa kwenye vikao vya kamati kuu ni kilele cha matunda ya kutoheshimu haki na kanuni za chama kwemye kupata wagombea na JK hawezi kukwepa lawama kuifikisha CCM hapa.

2. JK ANA UHUSIANO NA SIRI GANI NA SSH HADI KUIFIKISHA CCM HAPA?

Aliyewahi kuwa rais wa JMT hayati JPM aliwahi kusema kuwa SSH hakuwa chaguo lake mwaka 2015, bali chaguo lake lilikuwa ni HM. Akamena kuwa huyu SSH lilikuwa ni chaguo la wazee. Bila shaka hapa JK alihusika kumuwekea JPM huyu mama. Je kuna siri gani ya JK na huyu mama?. Huyu mama alikuwa na merit gani mwaka 2015 hadi afanywe kuwa mgombea mwenza?, alikuwa ameifanyia nini CCM na nchi hadi awe mgombea mwenza?. Hii mbeleko ya kisiada ambayo huyu mama kabebwa nayo, bila kupita katika chujio lolote serious la kisiasa la kumps nafasi kubwa kulikoni?, ana nini, au usharika gani ns JK?.

3. JK KUSHIRIKI KUMTANGAZA MGOMBEA URAISI KABLA HATA HAJACHUKUA FOMU NI AIBU YA KARNE.

Hii ni aibu kubwa sana kwa mtu aliyewahi kuwa rais, mgombea urais mara kadhaa na mwenyekiti wa chama. Unawezaje kukukubali kubaliki ba.kuwa mnadi mkuu wa uhuni uliofanyika hapo DODOMA?. JK hebu akae chini na ajiulize. Hofu ya kukimbiza mchakato wa uteuzi wa wagombea ni nini. Kama HM hapendwi si uwaache wana CCM waweke mtu mwingine kwani shida ni nini?. Kama kuna watu wanataka kumchallenge SSH si uwaache wamchallenge kwani wewe JK una maslahi gani na SSH au HM hadi ushiriki siasa za "Njama", za "nyuma ya pazia", "siasa za gizani". Au kwa sababu SSH ameendeleza kulinda maslahi yako manono na pia akaenda mbele hadi kupitosha sheria ya kumlipa mkewe mahela mengi kama vile mkewe alivyosuggest?. Je analipa fadhila?.

4. CCM KUPOTEZA USHAWISHI KWA UMMA NA KUGEUKA CHAMA CHA POLISI NA USALAMA.

JK anajua, viongozi wa juu wa CCM wanajua kuwa bila polisi na usalama wa Taifa CCM haiwezi kusimama man to man na upunzani nchini ktk chaguzi. Na hii tabia ya kutegemea polisi na usalama ilifunbiwa macho na JK na viongozi wenzie waliotangualia. Kwa kuwa CCM haitegemei ushawishi wa wanachama wala wananchi, wanategenea vyombo vya dola viwape kile wanachokitaka kwa wananchi lakini hawawezi kukipata kwa ridhaa zao. Ndiyo maana wanamlinda HM kwa sababu aliingizwa pale ZNZB kibabe. Na hii michezo hii ya kupora haki za wananchi kuchagua imegeuka na kuwa kama aliyezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi. Leo hii wanachama wa CCM hawana thamani kivile mbele ya kundi dogo la wafanya maamuzi ndani ya CCM kwa sababu hilo kundi dogo linajua lina Polisi na Usalama, wataweka mbo sawa!

5. NAMKUMBUSHA JK KUWA MICHEZO YA KISIASA AKILI NYINGI MBELE GIZA.

Mwaka 2015 alimfanyia figisu EL, akaja na wagombea wa mfukoni. Matokeo yake Chuma kikapenya na kuibuka katikati ya hilo zogo. Chuma kikatandika bakora kila mtu humu nchini, na huyo JK mwenyewe kwa mujibu wa kitabu cha Kabendera alikuwa halali usingizi vizuri, maana chuma kilikuwa kinamvutia rada. Sasa hii hali ya kukwepa haki na kuweka mbele maslahi binafsi na kuleta ujanja ujanja kwenye mambo yanayohitaji utaratibu matokeo yake yanaweza kuwa yasiyodhamiriwa. Awe makini anaweza kuwa anataka aendelee kuonekana ni KING MAKER au MAESTRO wa Kisiasa kumbe anakiumiza chama na anaiumiza nchi.
Hovyo sana huyu Mzee. Amejimilikis
Naam, hili wala halina ubishi. Katika watu ambao hawawezi kukwepa lawama katika kuvuruga chama cha Mapinduzi na hatimaye kuiweka nchi katika sintofahamu na kupelekea nchi kukosa muelekeo ni huyu JK.

1. BIFU LAKE BINAFSI NA EL LILIVURUGA CCM.

Kila mtu anakumbuka jinsi EL alivyokatwa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi mgombea urais ndani ya chama mwaka 2015. EL alikatwa kihuni, yote hii ni kumfanyia mtima nyongo asiwe mgombea urais kupitia chama hicho. Kila mtu anakumbuka jinsi watu walivyomlalamikia kwa kuja na majina ya wagombea mfukoni, kiufupi kuna mambo yasiyo sahihi yalifanyika kwenye kupata wagombea. Tatizo ni kwamba, kila uhuni mmoja unapofanyika, unatengeneza precedence ya uhni mwingine kufanyika mbeleni. Yanayotokea CCM hii leo ya kupitisha wagombea urais wa JMT na ZNZB bila wagombea kujaza fomu ya kuomba kugombea, na bila kupata wadhamini kutoka mikoani, na bila kujadiliwa kwenye vikao vya kamati kuu ni kilele cha matunda ya kutoheshimu haki na kanuni za chama kwemye kupata wagombea na JK hawezi kukwepa lawama kuifikisha CCM hapa.

2. JK ANA UHUSIANO NA SIRI GANI NA SSH HADI KUIFIKISHA CCM HAPA?

Aliyewahi kuwa rais wa JMT hayati JPM aliwahi kusema kuwa SSH hakuwa chaguo lake mwaka 2015, bali chaguo lake lilikuwa ni HM. Akamena kuwa huyu SSH lilikuwa ni chaguo la wazee. Bila shaka hapa JK alihusika kumuwekea JPM huyu mama. Je kuna siri gani ya JK na huyu mama?. Huyu mama alikuwa na merit gani mwaka 2015 hadi afanywe kuwa mgombea mwenza?, alikuwa ameifanyia nini CCM na nchi hadi awe mgombea mwenza?. Hii mbeleko ya kisiada ambayo huyu mama kabebwa nayo, bila kupita katika chujio lolote serious la kisiasa la kumps nafasi kubwa kulikoni?, ana nini, au usharika gani ns JK?.

3. JK KUSHIRIKI KUMTANGAZA MGOMBEA URAISI KABLA HATA HAJACHUKUA FOMU NI AIBU YA KARNE.

Hii ni aibu kubwa sana kwa mtu aliyewahi kuwa rais, mgombea urais mara kadhaa na mwenyekiti wa chama. Unawezaje kukukubali kubaliki ba.kuwa mnadi mkuu wa uhuni uliofanyika hapo DODOMA?. JK hebu akae chini na ajiulize. Hofu ya kukimbiza mchakato wa uteuzi wa wagombea ni nini. Kama HM hapendwi si uwaache wana CCM waweke mtu mwingine kwani shida ni nini?. Kama kuna watu wanataka kumchallenge SSH si uwaache wamchallenge kwani wewe JK una maslahi gani na SSH au HM hadi ushiriki siasa za "Njama", za "nyuma ya pazia", "siasa za gizani". Au kwa sababu SSH ameendeleza kulinda maslahi yako manono na pia akaenda mbele hadi kupitosha sheria ya kumlipa mkewe mahela mengi kama vile mkewe alivyosuggest?. Je analipa fadhila?.

4. CCM KUPOTEZA USHAWISHI KWA UMMA NA KUGEUKA CHAMA CHA POLISI NA USALAMA.

JK anajua, viongozi wa juu wa CCM wanajua kuwa bila polisi na usalama wa Taifa CCM haiwezi kusimama man to man na upunzani nchini ktk chaguzi. Na hii tabia ya kutegemea polisi na usalama ilifunbiwa macho na JK na viongozi wenzie waliotangualia. Kwa kuwa CCM haitegemei ushawishi wa wanachama wala wananchi, wanategenea vyombo vya dola viwape kile wanachokitaka kwa wananchi lakini hawawezi kukipata kwa ridhaa zao. Ndiyo maana wanamlinda HM kwa sababu aliingizwa pale ZNZB kibabe. Na hii michezo hii ya kupora haki za wananchi kuchagua imegeuka na kuwa kama aliyezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi. Leo hii wanachama wa CCM hawana thamani kivile mbele ya kundi dogo la wafanya maamuzi ndani ya CCM kwa sababu hilo kundi dogo linajua lina Polisi na Usalama, wataweka mbo sawa!

5. NAMKUMBUSHA JK KUWA MICHEZO YA KISIASA AKILI NYINGI MBELE GIZA.

Mwaka 2015 alimfanyia figisu EL, akaja na wagombea wa mfukoni. Matokeo yake Chuma kikapenya na kuibuka katikati ya hilo zogo. Chuma kikatandika bakora kila mtu humu nchini, na huyo JK mwenyewe kwa mujibu wa kitabu cha Kabendera alikuwa halali usingizi vizuri, maana chuma kilikuwa kinamvutia rada. Sasa hii hali ya kukwepa haki na kuweka mbele maslahi binafsi na kuleta ujanja ujanja kwenye mambo yanayohitaji utaratibu matokeo yake yanaweza kuwa yasiyodhamiriwa. Awe makini anaweza kuwa anataka aendelee kuonekana ni KING MAKER au MAESTRO wa Kisiasa kumbe anakiumiza chama na anaiumiza nchi na kujivunjia heshima.
Shiii! Nyamaza usiwashtue hao ccm. Wakizinduka tupo geti la magogoni.
 
Hovyo sana huyu Mzee. Amejimilikis

Shiii! Nyamaza usiwashtue hao ccm. Wakizinduka tupo geti la magogoni.
Wameshasema kupambana labda kwenye ubunge na udiwani ila urais hesabu imeshamalizika
 
Naam, hili wala halina ubishi. Katika watu ambao hawawezi kukwepa lawama katika kuvuruga chama cha Mapinduzi na hatimaye kuiweka nchi katika sintofahamu na kupelekea nchi kukosa muelekeo ni huyu JK.

1. BIFU LAKE BINAFSI NA EL LILIVURUGA CCM.

Kila mtu anakumbuka jinsi EL alivyokatwa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi mgombea urais ndani ya chama mwaka 2015. EL alikatwa kihuni, yote hii ni kumfanyia mtima nyongo asiwe mgombea urais kupitia chama hicho. Kila mtu anakumbuka jinsi watu walivyomlalamikia kwa kuja na majina ya wagombea mfukoni, kiufupi kuna mambo yasiyo sahihi yalifanyika kwenye kupata wagombea. Tatizo ni kwamba, kila uhuni mmoja unapofanyika, unatengeneza precedence ya uhni mwingine kufanyika mbeleni. Yanayotokea CCM hii leo ya kupitisha wagombea urais wa JMT na ZNZB bila wagombea kujaza fomu ya kuomba kugombea, na bila kupata wadhamini kutoka mikoani, na bila kujadiliwa kwenye vikao vya kamati kuu ni kilele cha matunda ya kutoheshimu haki na kanuni za chama kwemye kupata wagombea na JK hawezi kukwepa lawama kuifikisha CCM hapa.

2. JK ANA UHUSIANO NA SIRI GANI NA SSH HADI KUIFIKISHA CCM HAPA?

Aliyewahi kuwa rais wa JMT hayati JPM aliwahi kusema kuwa SSH hakuwa chaguo lake mwaka 2015, bali chaguo lake lilikuwa ni HM. Akamena kuwa huyu SSH lilikuwa ni chaguo la wazee. Bila shaka hapa JK alihusika kumuwekea JPM huyu mama. Je kuna siri gani ya JK na huyu mama?. Huyu mama alikuwa na merit gani mwaka 2015 hadi afanywe kuwa mgombea mwenza?, alikuwa ameifanyia nini CCM na nchi hadi awe mgombea mwenza?. Hii mbeleko ya kisiada ambayo huyu mama kabebwa nayo, bila kupita katika chujio lolote serious la kisiasa la kumps nafasi kubwa kulikoni?, ana nini, au usharika gani ns JK?.

3. JK KUSHIRIKI KUMTANGAZA MGOMBEA URAISI KABLA HATA HAJACHUKUA FOMU NI AIBU YA KARNE.

Hii ni aibu kubwa sana kwa mtu aliyewahi kuwa rais, mgombea urais mara kadhaa na mwenyekiti wa chama. Unawezaje kukukubali kubaliki ba.kuwa mnadi mkuu wa uhuni uliofanyika hapo DODOMA?. JK hebu akae chini na ajiulize. Hofu ya kukimbiza mchakato wa uteuzi wa wagombea ni nini. Kama HM hapendwi si uwaache wana CCM waweke mtu mwingine kwani shida ni nini?. Kama kuna watu wanataka kumchallenge SSH si uwaache wamchallenge kwani wewe JK una maslahi gani na SSH au HM hadi ushiriki siasa za "Njama", za "nyuma ya pazia", "siasa za gizani". Au kwa sababu SSH ameendeleza kulinda maslahi yako manono na pia akaenda mbele hadi kupitosha sheria ya kumlipa mkewe mahela mengi kama vile mkewe alivyosuggest?. Je analipa fadhila?.

4. CCM KUPOTEZA USHAWISHI KWA UMMA NA KUGEUKA CHAMA CHA POLISI NA USALAMA.

JK anajua, viongozi wa juu wa CCM wanajua kuwa bila polisi na usalama wa Taifa CCM haiwezi kusimama man to man na upunzani nchini ktk chaguzi. Na hii tabia ya kutegemea polisi na usalama ilifunbiwa macho na JK na viongozi wenzie waliotangualia. Kwa kuwa CCM haitegemei ushawishi wa wanachama wala wananchi, wanategenea vyombo vya dola viwape kile wanachokitaka kwa wananchi lakini hawawezi kukipata kwa ridhaa zao. Ndiyo maana wanamlinda HM kwa sababu aliingizwa pale ZNZB kibabe. Na hii michezo hii ya kupora haki za wananchi kuchagua imegeuka na kuwa kama aliyezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi. Leo hii wanachama wa CCM hawana thamani kivile mbele ya kundi dogo la wafanya maamuzi ndani ya CCM kwa sababu hilo kundi dogo linajua lina Polisi na Usalama, wataweka mbo sawa!

5. NAMKUMBUSHA JK KUWA MICHEZO YA KISIASA AKILI NYINGI MBELE GIZA.

Mwaka 2015 alimfanyia figisu EL, akaja na wagombea wa mfukoni. Matokeo yake Chuma kikapenya na kuibuka katikati ya hilo zogo. Chuma kikatandika bakora kila mtu humu nchini, na huyo JK mwenyewe kwa mujibu wa kitabu cha Kabendera alikuwa halali usingizi vizuri, maana chuma kilikuwa kinamvutia rada. Sasa hii hali ya kukwepa haki na kuweka mbele maslahi binafsi na kuleta ujanja ujanja kwenye mambo yanayohitaji utaratibu matokeo yake yanaweza kuwa yasiyodhamiriwa. Awe makini anaweza kuwa anataka aendelee kuonekana ni KING MAKER au MAESTRO wa Kisiasa kumbe anakiumiza chama na anaiumiza nchi na kujivunjia heshima.
Wazanzibari CCM wana haki ya kikatiba ya kumteuwa mgombea wao baada ya mchujo. Bila ya hivyo maana yake wamechaguliwa rais wao na JK huko Dodoma
MSIKUBALI
 
Naam, hili wala halina ubishi. Katika watu ambao hawawezi kukwepa lawama katika kuvuruga chama cha Mapinduzi na hatimaye kuiweka nchi katika sintofahamu na kupelekea nchi kukosa muelekeo ni huyu JK.

1. BIFU LAKE BINAFSI NA EL LILIVURUGA CCM.

Kila mtu anakumbuka jinsi EL alivyokatwa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi mgombea urais ndani ya chama mwaka 2015. EL alikatwa kihuni, yote hii ni kumfanyia mtima nyongo asiwe mgombea urais kupitia chama hicho. Kila mtu anakumbuka jinsi watu walivyomlalamikia kwa kuja na majina ya wagombea mfukoni, kiufupi kuna mambo yasiyo sahihi yalifanyika kwenye kupata wagombea. Tatizo ni kwamba, kila uhuni mmoja unapofanyika, unatengeneza precedence ya uhni mwingine kufanyika mbeleni. Yanayotokea CCM hii leo ya kupitisha wagombea urais wa JMT na ZNZB bila wagombea kujaza fomu ya kuomba kugombea, na bila kupata wadhamini kutoka mikoani, na bila kujadiliwa kwenye vikao vya kamati kuu ni kilele cha matunda ya kutoheshimu haki na kanuni za chama kwemye kupata wagombea na JK hawezi kukwepa lawama kuifikisha CCM hapa.

2. JK ANA UHUSIANO NA SIRI GANI NA SSH HADI KUIFIKISHA CCM HAPA?

Aliyewahi kuwa rais wa JMT hayati JPM aliwahi kusema kuwa SSH hakuwa chaguo lake mwaka 2015, bali chaguo lake lilikuwa ni HM. Akamena kuwa huyu SSH lilikuwa ni chaguo la wazee. Bila shaka hapa JK alihusika kumuwekea JPM huyu mama. Je kuna siri gani ya JK na huyu mama?. Huyu mama alikuwa na merit gani mwaka 2015 hadi afanywe kuwa mgombea mwenza?, alikuwa ameifanyia nini CCM na nchi hadi awe mgombea mwenza?. Hii mbeleko ya kisiada ambayo huyu mama kabebwa nayo, bila kupita katika chujio lolote serious la kisiasa la kumps nafasi kubwa kulikoni?, ana nini, au usharika gani ns JK?.

3. JK KUSHIRIKI KUMTANGAZA MGOMBEA URAISI KABLA HATA HAJACHUKUA FOMU NI AIBU YA KARNE.

Hii ni aibu kubwa sana kwa mtu aliyewahi kuwa rais, mgombea urais mara kadhaa na mwenyekiti wa chama. Unawezaje kukukubali kubaliki ba.kuwa mnadi mkuu wa uhuni uliofanyika hapo DODOMA?. JK hebu akae chini na ajiulize. Hofu ya kukimbiza mchakato wa uteuzi wa wagombea ni nini. Kama HM hapendwi si uwaache wana CCM waweke mtu mwingine kwani shida ni nini?. Kama kuna watu wanataka kumchallenge SSH si uwaache wamchallenge kwani wewe JK una maslahi gani na SSH au HM hadi ushiriki siasa za "Njama", za "nyuma ya pazia", "siasa za gizani". Au kwa sababu SSH ameendeleza kulinda maslahi yako manono na pia akaenda mbele hadi kupitosha sheria ya kumlipa mkewe mahela mengi kama vile mkewe alivyosuggest?. Je analipa fadhila?.

4. CCM KUPOTEZA USHAWISHI KWA UMMA NA KUGEUKA CHAMA CHA POLISI NA USALAMA.

JK anajua, viongozi wa juu wa CCM wanajua kuwa bila polisi na usalama wa Taifa CCM haiwezi kusimama man to man na upunzani nchini ktk chaguzi. Na hii tabia ya kutegemea polisi na usalama ilifunbiwa macho na JK na viongozi wenzie waliotangualia. Kwa kuwa CCM haitegemei ushawishi wa wanachama wala wananchi, wanategenea vyombo vya dola viwape kile wanachokitaka kwa wananchi lakini hawawezi kukipata kwa ridhaa zao. Ndiyo maana wanamlinda HM kwa sababu aliingizwa pale ZNZB kibabe. Na hii michezo hii ya kupora haki za wananchi kuchagua imegeuka na kuwa kama aliyezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi. Leo hii wanachama wa CCM hawana thamani kivile mbele ya kundi dogo la wafanya maamuzi ndani ya CCM kwa sababu hilo kundi dogo linajua lina Polisi na Usalama, wataweka mbo sawa!

5. NAMKUMBUSHA JK KUWA MICHEZO YA KISIASA AKILI NYINGI MBELE GIZA.

Mwaka 2015 alimfanyia figisu EL, akaja na wagombea wa mfukoni. Matokeo yake Chuma kikapenya na kuibuka katikati ya hilo zogo. Chuma kikatandika bakora kila mtu humu nchini, na huyo JK mwenyewe kwa mujibu wa kitabu cha Kabendera alikuwa halali usingizi vizuri, maana chuma kilikuwa kinamvutia rada. Sasa hii hali ya kukwepa haki na kuweka mbele maslahi binafsi na kuleta ujanja ujanja kwenye mambo yanayohitaji utaratibu matokeo yake yanaweza kuwa yasiyodhamiriwa. Awe makini anaweza kuwa anataka aendelee kuonekana ni KING MAKER au MAESTRO wa Kisiasa kumbe anakiumiza chama na anaiumiza nchi na kujivunjia heshima.
Mkuu umeutendea haki uchambuzi wako.
 
Kundi analo sema limeshapunguzwa makali kwenye chama kwa sasa hana impact yeyote......zile jeuri za wakina January na Nape hadi kujiona wako juu ya rais kuna wazee wao ndo walikua wanawapa kiburi ila tokea wapigwe kibuti wameshaona upepo umebadilika......wengi walikua wana mawazo kwamba alivyoondoka JPM basi zama zao za kutamba zimerudi ,hawakujua kuna watu pia walikua na mipango yao chini kwa chini
Mkuu sio kweli, kama ndivyo yasingefanyika yaliyo fanyika Dodoma. Kama ndivyo uoga unatoka wapi?? Hali ni tofauti na unachoeleza hapa!!
 
Back
Top Bottom