JK hakwepi lawama kwa jinsi CCM ilivyogeuka kikundi cha watu wachache badala ya kuwa chama cha mamilioni ya wanachama

Chama kimeacha kufanya siasa, kutafuta ridhaa kwa umma, kimejiegemeza kwenye polisi na usalama wa Taifa.

Chama hopeless kabisa hiki.
 
Za mtaani zinadai mkewe aliwahi tiwa nguvuni kipindi cha chuma, hii imekaaje?
Walikorofishana sana naye. Unakumbuka kile kipindi Bashiru Ali alikuwa anasema kuna mtu amenuna kwa sababu ya kukataliwa kuingiza mzigo bila kulipia kodi? Basi ni yeye. Sidhani kama aliwekwa ndani ila ilikuwa chupuchupu. Unajua ule mtambo wa kudukua mzungumzo ya simu aliyofunga uliumbua wengi kwani watu walikuwa hawajui kuna kitu kama hicho hivyo walikuwa wanajiachia tu kumbe Magu anapata info zote. Hata yule singasinga aliyekuwa amewekwa rumande wanasema magereza walikuwa wanamruhusu kupiga simu kila siku bila kujua kuwa Magu anadukuwa.
 
JK hana sababu ya kuwa na kundi. Kimsingi hana anachohitaji tena kwenye siasa hizi. Lakini nashangaa kashiriki kubaliki mambo ya ajabu kabisa yaliyoyokea DODOMA juzi.
Yeye anazijua vizuri nguvu na madaraka aliyonayo aliyepo kitini !
Kwa kuwa na yeye alisha kikalia hicho kiti !
Je unategemea anaweza kuwa na ubavu wa kumpinga Mwenyekiti ???!

He have everything to lose !
Ni lazima awe obedient to the Chair whether he likes it or not !

Na hii modeli itaendelea kuwa vivi hivi for a long run !
Hata watakaokuja baadaye 😳🙄!
 
Sasa ndo unaelewa kwann Nyerere alikataa jamaa awe Presdaa b4 Mkapa.

Na huenda angekuepo mpaka 2005 Jamaa asingekua Rais kamwe
 

Hata Nyerere alikuwa akimuogopa Mwinyi?

Maana nguvu za kidola alizokuwa nazo Mwinyi ni hizohizo alizokuwa nazo Nyerere before.
 
Kumbe
 
Kwakifupi Samia hakubaliki ndani ya ccm. Wakifuata utaratibu na kanuni za chama, Samia hatoboi ndio maana wenye maslahi yao wameamua kufanya uhuni
 
Kwakifupi Samia hakubaliki ndani ya ccm. Wakifuata utaratibu na kanuni za chama, Samia hatoboi ndio maana wenye maslahi yao wameamua kufanya uhuni

Nashangaa JK naye anashiriki kikao kile, tena na vijembe anatoa, yote hii kubariki uhuni ule uliofanyika pale.

Pathetic!
 
Wachawi huwa wanakufa mwishoni. Mara nyingi huwa ni kwa mateso sana. JK ni mmoja ya Marais wa hovyo kupata tokea Tanzania.
 
Ccm sio baba au mama yako , kama imekengeuka tafuta chama kingine mkuu, why uwe na stress.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…