addis in dar
New Member
- Dec 1, 2007
- 2
- 0
Phillemon, sasa wanakijiji anzeni kuweka hizi picha maana huko nyuma watu wametuambia kuna majengo ya kina BM hadi leo hakuna picha hata moja; tumeambiwa ana Hekalu Lushoto lakini hakuna hata kapicha ka michongoma.. ..
Phillemon, sasa wanakijiji anzeni kuweka hizi picha maana huko nyuma watu wametuambia kuna majengo ya kina BM hadi leo hakuna picha hata moja; tumeambiwa ana Hekalu Lushoto lakini hakuna hata kapicha ka michongoma.. ..
URSINO ndio wapi MKUU?
Okay Mkuu.Mikocheni Regent estate