... JK anatarajiwa kubadilisha wakurugenzi ... hasa wale anaowahisi awako nae pamoja
.... wadau wanahisi wa BIMA akaenda TANESCO;Wa ATCL akaenda BIMA;ndc KAENDA ttcl;
...na hivyo tusitarajie CEO wapya zaidi ya kubadilishaana
mkuu kidogo nifafanulie :**TANDA WAZI** kwetu kiluga lala wazi...
ilibidi niogope kidogo
waogopa nini dilunga ukubwa jiwe mi ntakuwa riverbetween mida ya saa tatu pale golden bridge wewe best
ceo ni vyeo vinavyopigwa vita siku hizi katika ulimwengu wa kwanza wanasema hawa inakuwa hawana kazi yeyote ile zaidi ya kutafuna feza ,na huwa hata kazini hawapiti au kuonekana ,inasemwa kuwa kuna mfumo maalum unaandaliwa wa kuunda bodi inayotokana na wafanyakazi wenyewe ,ambao watakuwa ndio watatuzi wakuu katika matatizo ya shughuli zao za kila siku.maana sijui kwa hapa tz huwa ceo analipwa ngapi lakini huko majuu analipwa kwa saa , mpo.