Kwa kweli Watanzania tunataka kuzugwa. Kifupi hii habari nzima imejaa usanii wa hali ya juu kutaka kuwazuga Watanzania. Mabadiliko yanayotaka kufanywa ni remote control ya mtu aliye nje ya utawala anayetaka kujaribu kuonyesha kwamba bado ana nguvu katika utawala wa sasa na hilo ni hatari sana kwa wananchi wa Tanzania.