Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alikuwa chaguo la mungu,kikwete ni chaguo la mafisadiTakrima ni RUSHWA! Kama umewaalika wazee au wananchi kwenye mkutano wako, na kama wananchi wanakukubali, watakuja tu kwa gharama zao. Hivi Nyerere alikuwa anatoa Takrima? Mbona mikutano yake ilikuwa na watu!?
JK alisema kuwa takrima haikwepeki ingawaje sheria ya uchaguzi inakataza na mahakama ilikwisha amua kuwa ni rushwa. Sasa kuanzia leo yuko huko Kilimanjaro, tutarajie vituko vingine huko na utani wake na wazee wa Kichagga!