Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Mkuu wanahari wetu huandika tarifa bila kutafiti huu ni uandishi wa kuandika bila kushirikisha wahusika zoezi hilo tunajua ni mwezi wa saba wasiliana na tume uone.Rais wa Tanzania akiwahutubia mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania,
Kawambia kuwa kufikia mwezi May wananchi watapiga kura ya maoni sasa najiuliza hivi ni kweli mabolesho ya daftari yatakuwa yameshafanyika??
Source habari leo
Rais wa Tanzania akiwahutubia mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania,
Kawambia kuwa kufikia mwezi May wananchi watapiga kura ya maoni sasa najiuliza hivi ni kweli mabolesho ya daftari yatakuwa yameshafanyika??
Source habari leo
kwani kitu gani kinashindikana? Maboresho ya daftari yanaweza kufanyika kwa wiki moja tuRais wa Tanzania akiwahutubia mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania,
Kawambia kuwa kufikia mwezi May wananchi watapiga kura ya maoni sasa najiuliza hivi ni kweli mabolesho ya daftari yatakuwa yameshafanyika??
Source habari leo
Mkuu, hivi upo serious wewe? Au unamsema mwenyekiti wako Freeman Mbowe ambaye hawezi kutamka neno la kiingereza hata mojaKikwete alihutubia kwa lugha gani? Maana English haipandi. Hebu mleta uzi tujuze
Umefanya utafiti katika hilo? Au unahadaika na kelele za wanywa gongo wale waliokuwa wanatwangana mawe hivi juzi?Daftari la mpiga kura linaweza lisiboreshwe
Maana vijana wengi hawako CCM
Umefanya utafiti katika hilo? Au unahadaika na kelele za wanywa gongo wale waliokuwa wanatwangana mawe hivi juzi?
Umefanya utafiti katika hilo? Au unahadaika na kelele za wanywa gongo wale waliokuwa wanatwangana mawe hivi juzi?
Mkuu, hivi upo serious wewe? Au unamsema mwenyekiti wako Freeman Mbowe ambaye hawezi kutamka neno la kiingereza hata moja
Mkuu wanahari wetu huandika tarifa bila kutafiti huu ni uandishi wa kuandika bila kushirikisha wahusika zoezi hilo tunajua ni mwezi wa saba wasiliana na tume uone.
kwani kitu gani kinashindikana? Maboresho ya daftari yanaweza kufanyika kwa wiki moja tu
Umefanya utafiti katika hilo? Au unahadaika na kelele za wanywa gongo wale waliokuwa wanatwangana mawe hivi juzi?