Elections 2010 JK kurudi Mbeya

Nyambala

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2007
Posts
4,465
Reaction score
1,171
Napata habari hapa sasa hivi kutoka CCM Mbeya ni kwamba JK atakuwa huko tena kwa kampeni Siku ya Ijumaa. Du! yaani kweli jamaa sasa anaweweseka, yaani kusikia Slaa atakuwa huko tayari homa imepanda!
 
Anahangaika sana mwambie Slaa anarudi tena Mwanza.
 
Aiseee asije akaanguka tena akashindwa mpigia kura Dr Slaa
 
Sikio la kufa.....
Mgonjwa mahututi akiomba maji ya kunywa......
Kifo cha Nyani .........
Kifo cha Mende.......

Kwa sisi wataalam wa SOKA uchaguzi huu tunasema CCM na JK wamepigwa inaitwa COUNTER ATTACH na dakika ndiyo hiyo ya 92 na sekunde 50. (Bado sekunde 10 tu za muda wa nyongeza kuisha)

Giza limetanda JK kabidhi nchi watu wahakutaki. Tunangojea kushangilia ushindi wetu wa uhuru wa watanganyika 2010.

Hima himaaaaaaaaaaaaa.........................
Hima Himaaaaaaaaaaaaa.........................
 
Sasa mkuu anahangaika nini? Nakumbuka Katibu mkuu wake Mh. Makamba alisema uchaguzi wa mwaka huu ni mteremko na CCM haina mshindani kwa sababu JK katika awamu yake hii ya kwanza katimiza ahadi zake zote na wananchi wanajua!!

Angalia mkuu, Mbeya si Mtwara...ulipoahidi kuwa kitovu cha viwanda (wakati hata DSM hakuna viwanda kustahili kuitwa kitovu)......pagumu pale!! Hawadanganyiki wakazi wa Mbeya, umesahau ulipoonyeshwa alama za chadema kila ulipopita mkoani Mbeya?
 
Napata habari hapa sasa hivi kutoka CCM Mbeya ni kwamba JK atakuwa huko tena kwa kampeni Siku ya Ijumaa. Du! yaani kweli jamaa sasa anaweweseka, yaani kusikia Slaa atakuwa huko tayari homa imepanda!

hahahahahaaaaaaaa!

Siku hizi ukitaka kumjambisha (kama wanavyofanyiwa wazee wa Pwani) JK unafanya kama hivi:

Kwanza unamvizia, Badala ya kufanya pruuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!, unasema Slaaaaaaa!!!

Hakika utamuonea huruma.

Kwa hiyo kesho watoto wa shule hawasomi tena huko Mbeya.
 
Hivi kwani ratiba ya kampeni watu wanaamua wenyewe au Vyama vinaamua kufanya mabadiliko vinapojisikia kufanya hivyo? Nilitegemea ratiba nzima ya kila chama iko NEC na hawezi kubadilishwa
 

Unajua ligi yoote hii pamoja na gharama zoote walizotumia CCM, JK mwenyewe ndiyo ataongeza bao la tano na la ushindi kwa CHADEMA kwa kujifunga. Ni ile siku ya J'mosi tarehe 30 pale Jangwani, ataanguka tena!!!!!!
 
Hivi kwani ratiba ya kampeni watu wanaamua wenyewe au Vyama vinaamua kufanya mabadiliko vinapojisikia kufanya hivyo? Nilitegemea ratiba nzima ya kila chama iko NEC na hawezi kubadilishwa

Ni rahisi tu mkuu si anadandia ratiba ya mbunge
 

hapa nilipo sina mbavu!!!!
 

Haya mambo yanamtisha!





http://www.facebook.com/photo.php?fbid=112247725475793&set=a.148456628521569.24626.100000716983155#Joseph Mbilinyi akilonga na wananchi wa Mwanjelwa Mbeya katika mkutano wake wa Kampeni
 
mpuuzi sana huyu jk

akirudi mbeya harusi mzima
 
Tujikumbushe methali:
CCM mwenda kimya IKO FUNGWA GOLI NYINGI NA CHADEMA
CCM akizidiwa IKO SINGIZIA MAUAJI MASWA.
Mchumia MAFISADI iko Kula chakula kivulini UKONGA.
Mtaka cha CCM sharti awe FISADI
CCM usiyoijua ni KAMA HANDAKI LA GIZA
n.k
 

Mkuu Ng'wanangwa,
Hapa umenifanya nicheke.. ni ukweli mtupu kuwa jk anamwogopa sana sana Dr wa ukweli raisi Slaa.
 
JK akubali tu kuwa Dr Slaa ni kiongozi wake, kila analosema anatekeleza, hivyo asione aibu kumpisha ikulu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…