What do you expect? If we could not see changes in the new cabinet, una tegemea maajabu kwenye hili? Sitegemei kuona jipya.
Can you imagine Maji na Irrigation kuwa Wizara moja? Mtu wa Irrigation ni mtu wa kilimo anasoma kilimo na anatakiwa kuja Agronomy, pests, crop water requirement. JK anasema ni kujenga mitaro. Hiyo ni civil works Irrigation ni zaidi ya hapo. After all Taifa lina aim at High tech irrigation na sio tena umwagiliaji wa kijima. See where we are driving