Hoja Mbili:
1. JK akipewa hicho cheo cha umwenyekiti wa AU haitaathiri utendaji wake nchini, maana hicho cheo ni mere ceremonial, mtu mwenye kazi kubwa ni mwenyekiti wa AU Commmission. Hawa marais hakuna lolote.
2. Mpaka sasa African countries zimeweka wazi kwamba suala la Kenya ni internal issue, na kusisitza kwamba taratibu zote za election zipo chini ya sheria za ndani ya nchi husika, kwa maana hiyo AU has nothing to do with Kenya's irregularities in her election, sana sana watamshauri Mh Kibaki kufanya mazungumzo na ODM. Lakini hiyo haitakuwa agenda ndani ya taratibu za AU meetings.