JK na AMERICAN SUBPRIME MORTGAGES

Duh! mmeibulia wapi hii jamani mbona tunatafutiana ubaya?

GT you know me better dude... to be fair, it is the picture of that hanging cartoon that has provoked all this. Nothing personal.
 
Which cartoon are you talking about?

this one:

kana kwamba Watanzania tunao hoji utendaji wa viongozi wetu tuko driven na wivu instead of our patriotism.

The other cartoon featuring Nike logo was a one to one conversation btn you and another member, thus am not bothered about, on the other hand, this referred to all gov critics, you included.
 

Umechemsha

aliyeweka hiyo cartoon ni MASATU unless unayo evidence nyingine kuonyesha otherwise..lakini si mimi niliyepost hiyo cartoon
 
Umechemsha

aliyeweka hiyo cartoon ni MASATU unless unayo evidence nyingine kuonyesha otherwise..lakini si mimi niliyepost hiyo cartoon

Naelewa hilo GT.
Hizi spin offs nia yangu si kupinga jitihada za Mh. Rais wetu na safu ya wasaidizi wake, wala si kupinga kusifiwa kwake, bali kuangalia yale tuliyoyaongelea hapo awali, kuyashutumu na hata kuyalaani na kulinganisha utatuzi wa mambo hayo yaliyotugusa wakati huo (siyo mrefu) na huu wakati wa kusifiwa na hata kufikia kuambiana kuwa tuna wivu dhidi ya viongozi wetu tuliowachagua sisi wenyewe. Natumaini umenielewa.
 

Mkuu wangu SteveD.

Mimi nafikiri kwa upeo wangu hatuko balanced ktk kumkoma giladi nyani, tatizo linakuja ule upande mwingine ule ule upande hautakiwi kujadiliwa na ukiugusa duuuu basi utaona watu wanavyonyanyuka kwenye viti.

Kama kweli tunafuta suluhu ya matatizo yetu nafikiri ni busara kuunga mkono juhudi chanya na kumpa giladi yeyote bila kuangali usoni ktk juhudi hasi.

Kwa akili nyepesi kabisa haiwezekani mtu afikishe post takribani 5000 bila kuona kasoro kwa upande ule ule upande ule ,hakuna mkamlifu wa namna hiyo.Pia bado nafikiri kumkosoa mtu ni kumpa challenge ya kufanya vizuri zaidi ya pale alipo.

kwanini kama tu nia njema tusiukosoe na upande ule ule upande?? ambao ni mbadala.kwendelea kuumwagia sifa ule upande ni kuupoteza tukifikiri tuna ulift.
kutokosolowa ama kupewa ngao kubwa ule upande ,ule upande ndiyo hofu yangu kuu.

Ni kweli JK mambo mengi yamemshinda haswa la rushwa na kuna mambo kayafanya positively,na yeye ni binadamu anahitaji motisha hata kazawadi ka maneno ili mzuka umpande na afanye mazuri mengine zaidi.

Hata unapokuwa na mwanao shule pale anapofanya vizuri huwa tunampa zawadi ya mtisha ili ajitahidi zaidi.
 
the question is sasa huyo JK manata kumreplace na FREEMAN MBOWE?
 
...Hell NOOOOO!!!

sasa wenzio ndio wanaamini kuwa FM ni presidental material na kila kitu lakini wamesahau kuwa Mugongo Mugongo huko nyuma alisema hivi:

2. Freeman Mbowe – failed in school, failed in business, failed in politics, and all this after being born in the royal family, the House of Mbowe. And he still has the audacity to vie for Presidency. In the current political state of play, he is irrelevant, and, as a HIPC (Heavily Indebted Party Chairman), he is finished as a politician.


Can you imagine the MBOWES ikulu?

duh!
 

I can't imargine!!!!
 

"Tanzania ni mfano wa kuigwa" - Obama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…