JK na Haki za Binadamu

Mlalahoi

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2006
Posts
2,182
Reaction score
885

Huyu JK vipi?Katika hotuba yake Bungeni alidai kwamba moja ya vikwazo vya kuwashughulikia mafisadi wa EPA ni HAKI ZA BINADAMU.Spika akam-criticize kwamba haki za wananchi ni muhimu zaidi kuliko haki za mafisadi.Ok,let's assume JK was right kuhusu haki za binadamu za mafisadi.Iweje leo awe mwepesi kupuuza haki za binadamu za wanaoua albino?

By the way,hii ni cheap political stunt.Kwa mujibu wa sheria,adhabu ya kosa la mauaji ni kifo.Lakini ni muhimu kukumbuka kwamba INATEGEMEA NANI ALIYEUA.Kama ni raia wa daraja la kwanza,eg Kaka Ditto,Kinje,etc then si ajabu aliyeauawa ndio akageuziwa kibao japo hayuko hai.Kama ni raia wa daraja la chini,malalahoi wa kawaida basi hata kama umeaua kuku unaweza kuishia kunyongwa.

Hapa hatuna rais,ni mazingaombwe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…