Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Mwaka 2005 JK alituahidi Taifa Stars itaenda Ghana hatukwenda na sasa kaahidi Taifa Stars itaenda Brazili kila mtu anajua hatuendi sasa ahadi hizi ni za nini?
Wakati JK anahaha na kupoteza maboya yake ili tusahau ya Mtwara ambayo hayuko tayari kuyavalia njuga na kuyamaliza (kama hata ana majibu yake!) kaanzisha zogo la mpira wa miguu na tatizo liko wapi?
Historia ya uongozi wake ni zima moto na hana mipango ya muda mrefu ya kuendeleza lolote achilia mbali soka na ndiyo maana makocha wa nje hudhani ndiyo jibu la kiwango duni kumbe matatizo ni mazito zaidi ya hapo.
Sote tunakubaliana jiko la kiwango ni vilabu lakini huko uwekezaji wa serikali ni sifuri kwa ushauri angelianza na yafuatayo ambayo yataleta chachu ya kweli kwenye soka:-
a) Futa kodi zote kwenye shughuli za michezo.
b) Vilabu kugawana 75% ya mapato ya uwanjani na kuwekewa sheria iliyopitishwa na Bunge.
c) kila mwaka serikali itenge fedha kwaajili ya vilabu kwa mgawo ufuatao:-
i) kila kilabu cha daraja la kwanza kupewa ruzuku ya bilioni moja.
ii) Kila kilabu cha daraja la pili kupewa ruzuku ya robo bilioni kila mwaka
iii) Kila kilabu cha daraja la tatu kupewa ruzuku ya milioni hamsini kila mwaka.
d) Vilabu vyote vinavyotaka kupewa ruzuku tajwa vijisajili soko la hisa na kufuata sheria zote husika zikiwemo za kutoa hesabu za mapato na matumizi hadharani, kuendeshwa kwa misingi ya kampuni n.k
e) Kila mwaka serikali ijenge kiwanja cha kisasa (mradi wa miaka 20)na kukimilikisha kwa kilabu cha daraja la kwanza kwa kuanzia badala ya kusubiria (mfani Azamu) kwenda kuzindua viwanja vya wengineo.
f) Kuanzisha bahati Nasibu ya Taifa ambayo kazi yake ni kukusanya pesa za kutekeleza ushauri huu. Wakati umefika wa kumwambia Abbas Tarimba "his gamemanship" at Bahati Nasibu ya Taifa is over for we need true professionals to run that vital entity.
..............................baada ya miaka kumi ya utekelezaji wa haya na mengineyo mengi tuongelee AFCON and FIFA WORLD CUP.
IT IS TIME TO GET SERIOUS na kuachana na hizi zima moto, please, Mr. President!
Wakati JK anahaha na kupoteza maboya yake ili tusahau ya Mtwara ambayo hayuko tayari kuyavalia njuga na kuyamaliza (kama hata ana majibu yake!) kaanzisha zogo la mpira wa miguu na tatizo liko wapi?
Historia ya uongozi wake ni zima moto na hana mipango ya muda mrefu ya kuendeleza lolote achilia mbali soka na ndiyo maana makocha wa nje hudhani ndiyo jibu la kiwango duni kumbe matatizo ni mazito zaidi ya hapo.
Sote tunakubaliana jiko la kiwango ni vilabu lakini huko uwekezaji wa serikali ni sifuri kwa ushauri angelianza na yafuatayo ambayo yataleta chachu ya kweli kwenye soka:-
a) Futa kodi zote kwenye shughuli za michezo.
b) Vilabu kugawana 75% ya mapato ya uwanjani na kuwekewa sheria iliyopitishwa na Bunge.
c) kila mwaka serikali itenge fedha kwaajili ya vilabu kwa mgawo ufuatao:-
i) kila kilabu cha daraja la kwanza kupewa ruzuku ya bilioni moja.
ii) Kila kilabu cha daraja la pili kupewa ruzuku ya robo bilioni kila mwaka
iii) Kila kilabu cha daraja la tatu kupewa ruzuku ya milioni hamsini kila mwaka.
d) Vilabu vyote vinavyotaka kupewa ruzuku tajwa vijisajili soko la hisa na kufuata sheria zote husika zikiwemo za kutoa hesabu za mapato na matumizi hadharani, kuendeshwa kwa misingi ya kampuni n.k
e) Kila mwaka serikali ijenge kiwanja cha kisasa (mradi wa miaka 20)na kukimilikisha kwa kilabu cha daraja la kwanza kwa kuanzia badala ya kusubiria (mfani Azamu) kwenda kuzindua viwanja vya wengineo.
f) Kuanzisha bahati Nasibu ya Taifa ambayo kazi yake ni kukusanya pesa za kutekeleza ushauri huu. Wakati umefika wa kumwambia Abbas Tarimba "his gamemanship" at Bahati Nasibu ya Taifa is over for we need true professionals to run that vital entity.
..............................baada ya miaka kumi ya utekelezaji wa haya na mengineyo mengi tuongelee AFCON and FIFA WORLD CUP.
IT IS TIME TO GET SERIOUS na kuachana na hizi zima moto, please, Mr. President!