figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Hivi ndio mwonekano wa sasa wa hali halisi ya soko kuu la Kariakoo ambapo idadi ya wateja na wafanyabiashara imeongezeka maradufu ukilinganisha na miaka hiyo ya mwishoni mwa miaka ya 1970.
Picha ya soko la Kariakoo jijini Dar es salaam ambalo lilipoanzishwa miaka ya 1970 lilikuwa linaweza kuhudumia wafanyabiashara kuanzia 200 hadi 300 ambapo kwa sasa mamia ya wafanyabiashara wameongezeka sokoni hapo.
Chanzo: Maktaba ya kariakoo.